Ajali iliyoua watu 6 Dodoma: Wanaopaswa kukamatwa na kuwekwa ndani ni Mfugale na Meneja wa Dodoma wa TANROADS Dodoma, sio dereva wa lori

Unahitaji ujasiri na uzoefu kwenda mkoani..otherwise kifo kinakuita..Kuna mashimo, mafuta, magari mabovu, matawi ya miti yakiyoachwa kiholela barabarani n.k
 
Nimesoma habari kuwa ajali imetokea huko Dodoma usiku wa Jumapili 29 December wakati lori lenye namba T364 AZZ lilipokuwa likijaribu kukwepa shimo kubwa barabarani liliigonga Coaster yenye namba T846AYU na watu sita kufa hapo hapo. KUna majeruhi wako hospitali wengine ICU.

Kutokana na tukio hili polisi wanamshikilia dereva wa lori.

Acha tuseme ukweli humu JF. Ajali hii imesababishwa na nani hasa? Je si uzembe wa Tanroads katika kufukia mashimo makubwa barabara kuu na kuyaacha kwa muda mrefu? Hivi ndio tuseme Tanroads, hata kama hawana fedha za kuziba mashimo kwa lami, wameshindwa hata kuyafukia kwa mchanga ili kuepusha ajali za uzembe wa Tanroads kama huu?

Je, huyu meneja wa Tanroads wa Dodoma, ni mara ngapi anatuma vikosi kukagua barabara katika mkoa wake na kuhakikisha hazina mashimo yanayoweza kusababisha ajali? Je Mfugale ameweka huu utaratibu kwa Mameneja wote wa Tanroads mikoani? Mimi ni dereva, na nimewaki kuepuka kifo kwa kuingia porini baada ya basi kuingia upande wangu wakati dereva akikwepa shimo kubwa barabarani. Dereva wa basi hata aliniomba msamaha na kusema hakujua kuna shimo kubwa hiyo sehemu. Na mara kadhaa nimeingia mashimo makubwa ya ghafla barabarani.

Labda swali kubwa kuliko yote ni kwamba kwa kila lita ya dizeli au petroli tunayonunua, kuna fungu linaloenda Tanroads kwa ajili ya kurekebisha barabara. Ndio tuseme fedha hizo hazitoshi hata kufukia mashimo makubwa barabarani kwa kokoto na mchanga kama hawawezi kuziba kwa lami?

Acha tumsifie Mfugale kwa kujenga flyover na kuzipa jina lake, lakini kwa hili la mashimo makubwa yanayoachwa kwa muda mrefu katika barabara zilizo nchini ya Tanroads hawezi kukwepa lawama. Ndio maana nasema wazi kuwa Polisi wanamuonea dereva wa lori katika ajali hii. Waliosababisha hivi vifo vya watu sita na vingine vingi pamoja na uhalibifu wa mali vinavyosababishwa na mashimo makubwa ya ghafla barabarani ni Tanroads.

Reference: Sita wafariki dunia kwa kuparamiwa na lori

View attachment 1308620
Acha kutetea makosa

Mwenye roli angekuwa mwangalifu ajali isinhetokea

Hilo eneo haliruhusu kuovertake na pia n sehemu yenye njia inayoingia njia kuu kwa Hali ya kawaida Kama dereva unatakiwa kuchukua tahadhari kubwa Sana kwasababu madereva wasio makini wanawezasababisha ajali

Mwenye roli hakutakiwa kutanua bali angesimama kwanza
 
Nimesoma habari kuwa ajali imetokea huko Dodoma usiku wa Jumapili 29 December wakati lori lenye namba T364 AZZ lilipokuwa likijaribu kukwepa shimo kubwa barabarani liliigonga Coaster yenye namba T846AYU na watu sita kufa hapo hapo. KUna majeruhi wako hospitali wengine ICU.

Kutokana na tukio hili polisi wanamshikilia dereva wa lori.

Acha tuseme ukweli humu JF. Ajali hii imesababishwa na nani hasa? Je si uzembe wa Tanroads katika kufukia mashimo makubwa barabara kuu na kuyaacha kwa muda mrefu? Hivi ndio tuseme Tanroads, hata kama hawana fedha za kuziba mashimo kwa lami, wameshindwa hata kuyafukia kwa mchanga ili kuepusha ajali za uzembe wa Tanroads kama huu?

Je, huyu meneja wa Tanroads wa Dodoma, ni mara ngapi anatuma vikosi kukagua barabara katika mkoa wake na kuhakikisha hazina mashimo yanayoweza kusababisha ajali? Je Mfugale ameweka huu utaratibu kwa Mameneja wote wa Tanroads mikoani? Mimi ni dereva, na nimewaki kuepuka kifo kwa kuingia porini baada ya basi kuingia upande wangu wakati dereva akikwepa shimo kubwa barabarani. Dereva wa basi hata aliniomba msamaha na kusema hakujua kuna shimo kubwa hiyo sehemu. Na mara kadhaa nimeingia mashimo makubwa ya ghafla barabarani.

Labda swali kubwa kuliko yote ni kwamba kwa kila lita ya dizeli au petroli tunayonunua, kuna fungu linaloenda Tanroads kwa ajili ya kurekebisha barabara. Ndio tuseme fedha hizo hazitoshi hata kufukia mashimo makubwa barabarani kwa kokoto na mchanga kama hawawezi kuziba kwa lami?

Acha tumsifie Mfugale kwa kujenga flyover na kuzipa jina lake, lakini kwa hili la mashimo makubwa yanayoachwa kwa muda mrefu katika barabara zilizo nchini ya Tanroads hawezi kukwepa lawama. Ndio maana nasema wazi kuwa Polisi wanamuonea dereva wa lori katika ajali hii. Waliosababisha hivi vifo vya watu sita na vingine vingi pamoja na uhalibifu wa mali vinavyosababishwa na mashimo makubwa ya ghafla barabarani ni Tanroads.

Reference: Sita wafariki dunia kwa kuparamiwa na lori

View attachment 1308620
Acha kutetea makosa

Mwenye roli angekuwa mwangalifu ajali isinhetokea

Hilo eneo haliruhusu kuovertake na pia n sehemu yenye njia inayoingia njia kuu kwa Hali ya kawaida Kama dereva unatakiwa kuchukua tahadhari kubwa Sana kwasababu madereva wasio makini wanawezasababisha ajali

Mwenye roli hakutakiwa kutanua bali angesimama kwanza
 
Acha kutetea makosa

Mwenye roli angekuwa mwangalifu ajali isinhetokea

Hilo eneo haliruhusu kuovertake na pia n sehemu yenye njia inayoingia njia kuu kwa Hali ya kawaida Kama dereva unatakiwa kuchukua tahadhari kubwa Sana kwasababu madereva wasio makini wanawezasababisha ajali

Mwenye roli hakutakiwa kutanua bali angesimama kwanza
Kusimamisha lori sio kama vitz
 
Kusimamisha lori sio kama vitz
ukiwa dereva mwenye tahadhari utaweza labda Kama breki zimfeli na upo na mwendokasi mkubwa zaidi ya 50

Mjini speed max n 50 zingatia Hilo na hakikisha kunakuwa na umbali wa kutosha Kati ya gari yako na iliyo mbele yako pamoja na kumsoma aliyembele yako anavyoendesha
 
Acha kutetea makosa

Mwenye roli angekuwa mwangalifu ajali isinhetokea

Hilo eneo haliruhusu kuovertake na pia n sehemu yenye njia inayoingia njia kuu kwa Hali ya kawaida Kama dereva unatakiwa kuchukua tahadhari kubwa Sana kwasababu madereva wasio makini wanawezasababisha ajali

Mwenye roli hakutakiwa kutanua bali angesimama kwanza
Gari kubwa ni tofauti na gari ndogo hata kusimama kwake ni tofauti pia hujui alikuwa kwenye mwendo gani,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukienda pale stendi ya mbezi mwisho kama unataka kutoka kuna bonge la mshimo, hili shimo limekuwa ni kero sana kwakweli na linazidi kuchimbika sasa sijui hilo shimo wanategemea pesa za msaada kutoka kwa mabeberu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na inasemekana stendi hiyo (kabla ya ile ya Malamba kuanza kutumika) inaingiza sio chini ya milioni 15 kwa wiki, hizo pes zinashindwa kuziba shimo hilo?
 
Na siku hz wanachimba mashimo yao hata alam za tahadhar hawaweki hata kidogo juz kat nilikuwa Niko mwendo kidogo hv Hamad shimo hili hapa nikafunga brek za ghafla wa nyuma manusura anivae

Tulichofanya tulifukia shimo lenyewe tukasepa na Kijiji waje watoe Tena mchanga tulioweka alafu wakarabati

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inatosha kabisa kuwashtaki mahakamani angalau waanze kuwa makini na maisha ya watu. UZEMBE
 
Hujawahi kuwa dereva na kukutana na hizo kasheshe barabarani.

Kujaribu kukwepa ama kulipitia posibility ya impact inayofanana bado ipo. Unaweza lipitia ukapasua tair hadi rim ama ukakosa balance pia.

Utamshikiria dereva sawa lakini unapokuja kwenye proximity cause unaweza mchomoa dereva.

Hawa tanroads wanamagari lakini sijui huwa wanayatumia wapi kama hata kufanya ukaguzi tu na kurekebisha ama kuweka alama za tahadhari hawafanyi.

Hivi hakuna sheria ya kuwashitaki hawa watu kwa kushindwa kutimiza wajibu zao.

Sawa hawana hela za kurekebisa,basi haya alama za tahadhari wanashindwa kweli.?



Sent using Jamii Forums mobile app
Proximity Cause bila shaka wewe ni learned friend..
 
Sasa utakuta kwa unafiki mkubwa wa Tanroads, baada ya hii ajali iliyoua watu ndio wanakimbia kuziba lile shimo. Unajiuliza ni nini kimewawezesha kuziba shimo baada ya ajali na watu kufa ambacho hawakuweza kufanya kabla ya ajali? Unaweza kufikiri labda imebidi wakate mishahara ya January ya wafanyakazi wa Tanroads ili kupata hela ya kuzibia shimo baada ya ajali!

Hela zipo sana tena wana uwezo kuwa na karakana kila sehemu ila ni uzembe tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Nimesoma habari kuwa ajali imetokea huko Dodoma usiku wa Jumapili 29 December wakati lori lenye namba T364 AZZ lilipokuwa likijaribu kukwepa shimo kubwa barabarani liliigonga Coaster yenye namba T846AYU na watu sita kufa hapo hapo. KUna majeruhi wako hospitali wengine ICU.

Kutokana na tukio hili polisi wanamshikilia dereva wa lori.

Acha tuseme ukweli humu JF. Ajali hii imesababishwa na nani hasa? Je si uzembe wa Tanroads katika kufukia mashimo makubwa barabara kuu na kuyaacha kwa muda mrefu? Hivi ndio tuseme Tanroads, hata kama hawana fedha za kuziba mashimo kwa lami, wameshindwa hata kuyafukia kwa mchanga ili kuepusha ajali za uzembe wa Tanroads kama huu?

Je, huyu meneja wa Tanroads wa Dodoma, ni mara ngapi anatuma vikosi kukagua barabara katika mkoa wake na kuhakikisha hazina mashimo yanayoweza kusababisha ajali? Je Mfugale ameweka huu utaratibu kwa Mameneja wote wa Tanroads mikoani? Mimi ni dereva, na nimewaki kuepuka kifo kwa kuingia porini baada ya basi kuingia upande wangu wakati dereva akikwepa shimo kubwa barabarani. Dereva wa basi hata aliniomba msamaha na kusema hakujua kuna shimo kubwa hiyo sehemu. Na mara kadhaa nimeingia mashimo makubwa ya ghafla barabarani.

Labda swali kubwa kuliko yote ni kwamba kwa kila lita ya dizeli au petroli tunayonunua, kuna fungu linaloenda Tanroads kwa ajili ya kurekebisha barabara. Ndio tuseme fedha hizo hazitoshi hata kufukia mashimo makubwa barabarani kwa kokoto na mchanga kama hawawezi kuziba kwa lami?

Acha tumsifie Mfugale kwa kujenga flyover na kuzipa jina lake, lakini kwa hili la mashimo makubwa yanayoachwa kwa muda mrefu katika barabara zilizo nchini ya Tanroads hawezi kukwepa lawama. Ndio maana nasema wazi kuwa Polisi wanamuonea dereva wa lori katika ajali hii. Waliosababisha hivi vifo vya watu sita na vingine vingi pamoja na uhalibifu wa mali vinavyosababishwa na mashimo makubwa ya ghafla barabarani ni Tanroads.

Reference: Sita wafariki dunia kwa kuparamiwa na lori

View attachment 1308620
Mimi nilidhani kuwa kwenye barabara mbovu dereva hupaswa kuwa makini zaidi.
 
Yaani haijasha hata miezi miwili tangu niandike hapa! Niliandika kuhusu Ajali ya Majinja miaka ile kuwa ilikua ni uzembe wa TANROADS na ajali ya basi gani lile na Lorry pale mlima Sekenke baada ya Lorry kukwepa shimo! Na ajali nyingine nyingi. These people watatumaliza
Nimesoma habari kuwa ajali imetokea huko Dodoma usiku wa Jumapili 29 December wakati lori lenye namba T364 AZZ lilipokuwa likijaribu kukwepa shimo kubwa barabarani liliigonga Coaster yenye namba T846AYU na watu sita kufa hapo hapo. KUna majeruhi wako hospitali wengine ICU.

Kutokana na tukio hili polisi wanamshikilia dereva wa lori.

Acha tuseme ukweli humu JF. Ajali hii imesababishwa na nani hasa? Je si uzembe wa Tanroads katika kufukia mashimo makubwa barabara kuu na kuyaacha kwa muda mrefu? Hivi ndio tuseme Tanroads, hata kama hawana fedha za kuziba mashimo kwa lami, wameshindwa hata kuyafukia kwa mchanga ili kuepusha ajali za uzembe wa Tanroads kama huu?

Je, huyu meneja wa Tanroads wa Dodoma, ni mara ngapi anatuma vikosi kukagua barabara katika mkoa wake na kuhakikisha hazina mashimo yanayoweza kusababisha ajali? Je Mfugale ameweka huu utaratibu kwa Mameneja wote wa Tanroads mikoani? Mimi ni dereva, na nimewaki kuepuka kifo kwa kuingia porini baada ya basi kuingia upande wangu wakati dereva akikwepa shimo kubwa barabarani. Dereva wa basi hata aliniomba msamaha na kusema hakujua kuna shimo kubwa hiyo sehemu. Na mara kadhaa nimeingia mashimo makubwa ya ghafla barabarani.

Labda swali kubwa kuliko yote ni kwamba kwa kila lita ya dizeli au petroli tunayonunua, kuna fungu linaloenda Tanroads kwa ajili ya kurekebisha barabara. Ndio tuseme fedha hizo hazitoshi hata kufukia mashimo makubwa barabarani kwa kokoto na mchanga kama hawawezi kuziba kwa lami?

Acha tumsifie Mfugale kwa kujenga flyover na kuzipa jina lake, lakini kwa hili la mashimo makubwa yanayoachwa kwa muda mrefu katika barabara zilizo nchini ya Tanroads hawezi kukwepa lawama. Ndio maana nasema wazi kuwa Polisi wanamuonea dereva wa lori katika ajali hii. Waliosababisha hivi vifo vya watu sita na vingine vingi pamoja na uhalibifu wa mali vinavyosababishwa na mashimo makubwa ya ghafla barabarani ni Tanroads.

Reference: Sita wafariki dunia kwa kuparamiwa na lori

View attachment 1308620

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata barabara za mijini watu mnavyokepana kwenye mashimo ni balaa, sijwahi kukutana na gari inayofanya ukaguzi wa barabara. Hizi barabara zitakuwa zinakaguliwa hapo ofisini kwenye kompyuta, mithili ya mtu anayeangalia kideo
 
Hi ajali imeniulia best friend wangu na majirani zangu haha Nzuguni mtaani kwangu pia nakumbuka nilitoka jumapili ya 29/12/2019 nikamuuliza mdau niliyekuwa nae baada ya kuona shimo kubwa katikati ya barabara kulikoni wakati kila siku viongozi wakubwa wa Nchi hi wanapita akanijibu nae anashangaa usiku ndo ikatokea ajali mbaya na kuondoa ndg zetu
 
Back
Top Bottom