Nauza blackview ultra a6 same kama iPhone lakini ni android..imetumika miezi miwili haina mkwaruzo wala mchubuko rangi silver na black camera ya ukweli pia unaweza badilisha kutoka android kwenda iOS mapenzi yako mwenyewe..350000 tu 0656647995
hellow naba msaada kama kuna member anaweza kujua wapi wanwma uza vifaa vya kutengenezea keki.vifaa hivyo ni kama food colour,mould,nozzle,piping bag na vinginevyo. thank you.
Habari za jumapili.Nataka kujiajili je ni wapi wanauza material za kutengenezea kadi za mialiko ya harusi na sherehe mbali mbali..computer ninayo pamoja na printer.Tatizo ni zile material design naweza tunga msaada please jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.