Kwanini mnautikuza sana umagharibi???
Hivi toka wameenza kutupa hiyo misaada kwanini bala LA africa haliendelei? Kwanini waafrica tunawashobokea ikiwa wao hawanampango nasisi.wakitaka tuwe sawa wasimame kufanya maendeleo ya nchi zao km miaka miambili hivi huku sasa wakirudi Africa kuleta hayo...
huu uzi unanichanganya kweli nimegundua kuwa mchumba wangu ni mama wa mtoto mmoja yeye na familia yake wakati nachumbia hawakuniambia kuwa mwenzangu anamtoto afu bimkubwa wangu ndo kajua ukweli kabla yangu
kwani hizo bikra wanazitoa peke yao me nadhani tatizo ni mporomoko wamaadili ktk jamii pmj nautandawazi kutaka kujaribu kila kitu...enyi wanaume tusiwatoe mabinti bikra kabla ya ndoa tuone km bikara zitakua zakutafuta km wafanyakaz hewa
kaka 3 months kila baada ya siku mbili usiku kucha! me nikajua unajuta ametoka mimba zako km 5 aaah bro u cant be serious wanawake watatutukana humu had tukome
gari na nyumba ni indicator ya uchumi wakati wala sio maisha ya juu, mwanaume hawezi kuogopa hilo... mwanaume achoogopa nipamoja na maradhi,au tabia ya mwanamke unaweza ukakuta huyo dada anajichukulia like an angel ila kiuhalisia nikituko hapo atahisi kwa7bu anakipato cha kati wanaume...
heee kwani ICC na ICJ zimeanza kufanya kazi kisheria wakati yesu anakufa msalabani? nijuavyo mimi sheria zakimataifa ( public international law) zimekujakuanza ku2mika baada ya yesu kufa....huyu ni bush lawyer!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.