Nyie watu wa WAMA acheni kuweweseka sana huyu mzee amewafanya nn mbona mnamtaja sana au ndo kuweweseka....Lowassa ndo mpango mzima 2015 mnaendelea kumuongezea point pasipo kujua
Wakati tulio fikia sasa ni mgumu maana kila mtaka urais ana mpiga vita Lowassa kwa sababu ananguvu kubwa na hata wakiongeza nguvu kwa kuungana hawamuwezi sasa fitna lazima wapike.... Lowassa anakubalika CCM na Upinzani swali ni kwanini ..?
Kila siku lowassa inaonekana anawaumiza sana vichwa....mnamrushia kila aina ya uchafu bila kutambua kuwa ndiye mteule wa taifa la tanzania 2015@@@@@acheni kutumika hivyo ndugu zangu yatupasa kuijenga nchi yetu na si kumchafua mtu kwa maslahi ya mjinga mmoja
Source na vijana wenye uchungu na nchi yao,ukumbuke Nasary ni muongeaji na sio mtekelezaji mambo yote yako chini ya chama tawala cha mapinduzi,mkawaulize wana katiti watawaeleza ukweli halisi
Na mboni tenumbua ntika lee nuuri ndi akamu kushishi ndi mimi sio mwenyej wa katiti mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.