Hali si shwari huko mashuleni ambapo inadaiwa kwa miezi miwili serikali haijatuma fedha za elimu bila malipo . Wazabuni, walinzi na watoa huduma mbalimbali mashuleni wanadai malipo yao huku walimu wakuu wasijue la kufanya.
Ifike pahali wafilisti wakubali kwamba hawawawezi wayahudi. Hii Vita tunaiona mwilini lakini ukweli ni kwamba iko katika ULIMWENGU wa roho. The only solution ni wafilisti wanyanyue mikono juu na kusurender .
Mkoa wa Kagera ni miongoni mwa mikoa michache hapa nchini iliyojijengea heshima kubwa katika utoaji wa elimu Bora na wataalamu wengi katika fani mbalimbali. Ndiyo maana hata Sasa hivi ukimuuliza mtanzania yeyote akutajie mikoa inayoongoza kuwa na wasomi wengi lazima Kagera ni mkoa mmojawapo...
Baada ya kufika hapo ulipo umefanya jitihada gani za kujikwamua kiuchumi? Au bado unaendelea na kazi ya kumchukia baba yako Hadi kufa. Inuka simama peke yako lawama na chuki kwa baba yako hazitakusaidia chochote.
Huyo ni kama Mimi kabisa.kuna demu wangu nampenda Sana Ila huwa simtafutagi Mara kwa Mara inaweza kupita hata siku 4 hatujawasiliana. Mwanzoni alikuwa hanielewi kabisa Ila baadae akaja kunielewa. Uzuri siku tunapokutana faragha huwa nampelekea Moto Hadi anaomba poo! Na Hilo ndo huwa linamfanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.