haya ndio maeneo yanahitaji KUFANYIWA MABADILIKO na ambapo serikali ya awamu ya tano inatakiwa kuanza nayo,haiwezekani mambo ya kihuni kama yalivyoelezwa hapo juuyaendelee kuvumiliwa katika ofisiza umma mtu anafanya usanii hata mtoto wa darasa la pili anaona hayo ni mazingira ya kubeba...
inawezekana laurean Rugambwa ndo ameonekana bora kuliko waliopita kwenye chujio la hiyo nafasi,kumbukeni nafasi kama hiyo ni nyeti kwa hiyo kuna habari ya maadili n.k.Pengine,HuiHui atueleze alimtaka nani ili nao tuwajadili kama laurean lugambwa.Vilevile,kuna tetesi kuwa hapo MSD kuna mwingine...
Huihui naona hapa unatumika na unapiga majungu tu,Kwani kuna shida gani kwa mtu ku-handover kwa miezi miwili,katika taasisi nyingi managerial levels huwa wana-handover na kutoa notice period ya miezi mitatu ili kuweza ku-groom vizuri sucessor wa hiyo position.funguka tujue vizuri shida yako ni...
mimi ni mtumiaji wa Vodacom kwa zaidi ya miaka kumi sasa,lakini majuzi tarehe 7/6/2015 vodacom wamekomba salio langu la Airtime Tsh.113,000/= kwa nusu saa kwa kisingizio cha internet eti kwa sababu nilikuwa sijajiunga na kifurushi chochote cha internet(hayo majibu ni kwa mujibu wa mtu wa...
wewe copenhagen mwambie ukweli huyo anayetaka kupiga box kuwa living standards hapo denmark ipo juu sana kiasi kwamba hiyo tsh.48,000 ukiibadilisha kwenye danish krone kimatumizi hakuna chochote cha maana utapata,mwaka 2013 niliwahi tembelea copenhagen nikafikia hotel moja city centre astoria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.