Ni vyema tukaangalia kwa undani masuala haya, tuache siasa, TALIBAN, AL QAIDA, AL SHABAAB, BOKO HARAMU, haya yote ni matokeo ya siasa, makundi haya yameanzia maeneo ambayo asilimia kubwa ya wakazi wake ni waisilam, kama ingekuwa tatizo ni dini nafikiri wasingeuana waisilamu kwa waisilam. Si...