HOMOSAPIEN
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 745
- 271
Samaki hujikaanga na mafuta yake mwenyewe
Hakika sasa naweza kuamini CCM imevunjika vipande vipande. Hii ni hatari kwa chama kinachotawala.
Uzalendo wa Nape Nnauye ni upi?
Unajua Maige anaweza akawa na hoja ya msingi kabisa au kunakitu anakijua lakini kwakua hakusema enzi ni waziri kwa maslah ya kulinda meza sasa hiv watu hawamuelewi,mi nazani akisikilizwa na akachimbuliwa anamengi,mi najua mbali na ubadhilifu kwa kutumi report ya CAG lakin inaonekana kabisa kunakitu anakijua ambacho huwenda alikitaa na anaamini ndicho chanzo cha kumtoa kwenyd uwazi.Mtakuja kuniambia
Tuwe wakweli. Nape ni mmoja wa wanasiasa makini waliobaki CCM. Kinachomtatiza ni kuwa amezungukwa na uozo kila kona. Binafsi nikisikia Nape amehamia CDM, nitashanilia. Lakini nikisikia CDM imempokea Maige nitahuzunika sana.hana usafi wowote ila ktk hili maige anaonyesha mfaano mbovu ndani ya chama kwa kuanza kumshambulia nape baada ya yeye kuondoshwa ktk uwaziri ilhali anatambua nape ni gamba siku zote.
hapa kwenye red naona ni yale yale ya ujenzi wa mnara wa Babel, wote ni wamoja tu bali ndio hivyo hawasikilizani tena kwa lugha, 'mungu' wao UFISADI keshawachanganya.INANIPA FARAJA KUCHUKIWA NA KUSEMWA VIBAYA NA WAOVU( wezi na watumiaji vibaya wa rasilimali na dhamana za uongozi walizopewa). HII INANIFANYA NISONGE MBELE KUWATETEA WANYONGE NA MASIKINI WA NCHI YANGU DHIDI YA UNYANG'AU WA MAFISADI HAWA!
Huwa inauma na mafunzo kusema vibaya na wazalendo na wanyonge wenzangu, na imekuwa ni mafundisho mazuri kwangu. Lakini nikisemwa na mafisadi, wezi, watumiaji vibaya wa rasilimali za nchi, tena kwa kuumia tu kisa mirija yao imekatwa, kwangu ni faraja kubwa kwani inaonyesha vita dhidi ya matumizi ya rasilimali za nchi yetu inaenda vizuri na imekamata pazuri!
SITAKATA TAMAA, NITASONGA MBELE MPAKA TONE LA MWISHO LA DAMU YANGU. NCHI KWANZA VYAMA BAADAE!
Maige hapaswi kumsema vibaya Nape eti anazoofisha chama, kwani ufisadi alioufanya Maige pale Maliasili unajenga chama au taifa kwa ujumla? Pia wananchi msalala mmelogwa na nanani? Mnamshangilia mwizi wa twiga wakati mwizi wa kuku mnamchoma moto. Kweli hii ni bongo lala.
Toka lini mwembe ukazaa pera? embe = embe, pera = pera
Maige bana.....si atulie.....