Inaonekana huelewi nini maana ya matumizi. Kwa mfano ; nikimlipa 150,000 au 200,000 kwa mwezi halafu apange chumba, alipie maji na umeme, anunue chakula, sabuni, alipie usafiri wa kuja kazini na kurudi, akiugua ajilipie, anunue mahitaji ya nyumba kama godoro, kitanda, nk. Hivi, kwa hesabu zako...