Recent content by Senkenke1

  1. Senkenke1

    Military Intelligence Coup: Kisa cha rubani aliyeiba na kutoroka na Ndege ya Kijeshi ya Iraq

    Acha uvivu weka historia yake hapa. unapenda kusoma vya wenzioo lete nyuzi kama zipo ndio uzalendo wa kweli
  2. Senkenke1

    Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

    Kenyatta n mkora kabisa. dikteta mvuta bangiii
  3. Senkenke1

    Asilimia kubwa ya wanawake walio katika ndoa hawakuwapenda waume zao

    Hivi wanaposema Bashite hana marinda wana maana gani maana hii swahili inakua tofauti sana
  4. Senkenke1

    Wana CCM Mchagueni Dkt Kikwete nafasi ya Mwenyekiti ili aendelee Kukijenga Chama zaidi!

    Chuki za mkisi hizo. Tunasuburi ushindi wa Tsunami!
  5. Senkenke1

    Bashe amlipua Membe

    Mh. Bashe umefilisika kifikra, usikubali kutumiwa kama kikaragosi. Wewe ninavyokufahamu hata kama una njaa usikubali kutumiwa namna hii. una bright future ahead of you.
  6. Senkenke1

    Wana CCM Mchagueni Dkt Kikwete nafasi ya Mwenyekiti ili aendelee Kukijenga Chama zaidi!

    Unamatatizo ya upofu wa kutoona ingawa unamacho, Rais anapoenda nje ni sehemu yake ya kazi. Sasa ukienda kule kwenu unapita barabara ya lami, katiba mpya inakuja, shule kila kata ingawa zinatakiwa kuboreshwa zaidi lakini zipi, Elimu vyuo vikuu zaidi ya 20 nchini, tatizo la Waalimu kikomo 2014...
  7. Senkenke1

    Wana CCM Mchagueni Dkt Kikwete nafasi ya Mwenyekiti ili aendelee Kukijenga Chama zaidi!

    Angalia data za Dunia nenda The Economist - World News, Politics, Economics, Business & Finance au jarida la Internationa Economic and Intelligence agency. Pia Eurozone economic report
  8. Senkenke1

    Pongezi Waziri Membe kazi nzuri ya kutatua suala la mpaka wa Ziwa Nyasa

    Nimependezeshwa sana hatua Waziri wa mambo ya Nchi za Nje Mh. Bernard Membe anazozichukua zidi ya Malawi kuvamia eneo letu la Ziwa Nyasa. Non-Violent Approach as first option. Ameedhihirisha upevu wa kisiasa na Diplomasia ilioyobobeya. Hili ni faida kwa taifa. maana vita haitatuwi tatizo lolote...
  9. Senkenke1

    Mazuri ya CCM

    Wanajamvi nimeona leo tujadili mazuri ya CCM ambayo wameyafanya ili tuone upande mwingine wa shilingi maana hapa kila kitu kina pande mbili. 1. Uomoja kitaifa 2. Amani na Utulivu 3. Kuondoa udini 5. kuukema ukabila 6. Daraja la Kigamboni coming soon 7. kukubali upinzani 8. Ujenzi wa nyumba za...
  10. Senkenke1

    Hatutaenda kwenye ufunguzi wa CCM Washington DC tarehe 25 mwezi huu.

    Chadema ruzuku milioni 400 kila mwezi, zinatumika vipi Chadema haina ukaguzi Ludovick atakuja kuwakagua. mmepoteza mwelekeo kwa hanasa Mashangingi na kulindana na kusahau malengo.
  11. Senkenke1

    Hatutaenda kwenye ufunguzi wa CCM Washington DC tarehe 25 mwezi huu.

    Wewe haya maendeleo unayoyapinga kila siku huwezi kuyasimamisha aibu zako zote nje nje subiri muda wako ufike. Unalinganisha kunde na nguo, hizo suti zako zilizo kubana peleka kwa fundi na ukakate hizo ndevu zako.
  12. Senkenke1

    Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

    Ushauri mbaya wa mpenda sifa Omy Mjenga baada ya kupewa kazi Sierra Leon akaanza kumkaanga mama yetu hadi kumletea shida. Ukipewa kitengo fanya kazi sifa majigambo hayakusaidii kijana
  13. Senkenke1

    Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

    Ushauri mbaya wa Omy Mjenga na kumpa kazi Sierra Leon jamaa kachemsha hadi mama kapata matatizo. mpenda sifa lazima anyooshe kidole ndani chupa.
  14. Senkenke1

    Wasifu wa ndani Mh. Catherine Magige na nia yake ya 2015

    Huyo ni mke mdogo wa Kagasheki, hasara maana chakula cha vigogo. ubunge wa ngono ... hasara kichwa pumba kilaza ngono tu ni somo. Pole Mh. Kaga
  15. Senkenke1

    Ushauri Kuhusu Viongozi wanaovaa hereni sikioni

    hahaa haha Cisco wa Magamba? upo hivi siku kedekede sijamsikia duh watu hupotea kama upepo!
Back
Top Bottom