4. Tetesi za wao kunyimwa viwanja wa jangwani ili kufungulia kampeni zao kinanyima fursa ya haki na usawa kwenye masuala uchaguzi
5. Kitendo cha lowasa kuzuiliwa kujichanganya kwenye jamii kwa kutumia usafiri wa daladala eti sababu za kiusalama zikitajwa.
7. Majimbo zaidi ya sita mfulilizo...
1. Baada ya mafuriko yao ya Mwanza kujibiwa siku ya uzinduzi wa kampeni, kama wenyewe waitavyo EL nino.
2. Baada ya Magufuli kueleza sera zake kwa ufasaha, tena kwa upembuzi yakinifu huku akieleza bila kukashfu upande mwingine, akidai yeye ni rais wa cdm, act,ccm,tlp na hata wasio na vyama.
3...
Jamani wana jf,nimetuma hela kwa mdogo wangu 15,000/= Kujaribu kutoa. pin yake wakadai sio sahihi,wakati anatumia hiyo mda wote!hatimaye akaunti wakaifunga.akawapigia ili waifungue mara wanasema subiri masaa24,mara fika airteshop..hatimaye nikaamua kuiomba kama niliyekosea namba,mpaka leo siku...
mandela ni mmojawapo aliyepata kusifika tangu historia za dunia hii kusikika masikioni na machoni mwetu."as the way you know is true, is the way you near to loose the truth"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.