Recent content by Senior masai

  1. Senior masai

    JamiiForums Tanzania Jifunze lugha za kibantu

    Naomba lifanyie kazi boss,
  2. Senior masai

    JamiiForums Tanzania Kununua Hisa benki

    Tusubirie wataalam wenye ufahamu
  3. Senior masai

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Angalia usiyatimbe kijana, kuna mafuta na futi sita
  4. Senior masai

    JamiiForums Tanzania NANI TUWEKEANE MAKUBALIANO YA KI-BIASHARA?

    Hilo swala unataka kuwa key client wa agricultural products au uwe supplier ama vendor, ukianza kama unavotaka ndipo utakapoona faida na pesa, usitafte mtu wa kukununulia bidhaa, tafta soko mwenyewe, kuna makampuni yanatafuta watu kama wewe logistics zote juu yao, lima dengu ufuta mbaazi karanga...
  5. Senior masai

    JamiiForums Tanzania Fursa kwa wafanyabiashara za karanga

    Kwa watumiaji na wafanyabiashara wa karanga Tunawakaribisha Segese, Kahama, kwa Adam Piniel Posho Mill. Tunapokea karanga kutoka kwa wakulima na kuuza kwa bei za jumla zikiwa safi na kavu. Fursa kwa vijana na wafanyabiashara Tunayo mashine ya kisasa ya kukoboa karanga kulingana na mahitaji ya...
  6. Senior masai

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Game ya yanga 12&gg
  7. Senior masai

    JamiiForums Tanzania Ukiijua hii Saikolojia na tabia ya Askari Polisi, hawatakusumbua sana

    Nilichoshangaa ni kusoma mpaka mwisho
  8. Senior masai

    JamiiForums Tanzania Jifunze lugha za kibantu

    Habari wanaJF, Natamani ningepata mtu wa kunitengenezea application au system ya watu kujifunza lugha mpya za kibantu na zile za zisizo za kibantu. Kwa yeyote anaeweza kuandaa mfumo kama huu ukafanya kazi kwa mifumo ya sauti na maandishi Namna ya watu kutamka maneno pia kuyaandika. Mfano mtu...
  9. Senior masai

    JamiiForums Tanzania DOKEZO PreGE2025 Nzega, Tabora: Mtaani kwetu kuna watu wanapita Kila kaya wanagawa mitungi ya gesi, Sharti lao uwape namba yako ya NIDA

    We leteni na uku bwana, najua ata nikiwapa wapinzani wataiba tuu, leteni mitungi yangu
  10. Senior masai

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naweza kupata wapi documents kama barua nilizofuta mwezi uliopita kwenye simu

    Ulifuta chat zote au ulibadili simu uka download Whatsapp app upya?? Kama hvo basi jaribu kufanya back up kwa email ilokuwepo, ila kama haukua unafanya back up either daily weekly or blah blah, then sorry
  11. Senior masai

    JamiiForums Tanzania Hakuna anayejali kuhusu wewe

    Unataka ku complicate tu hyo thread mkuu, thread iko wazi
  12. Senior masai

    JamiiForums Tanzania MSAADA WA USHAURI WA BIASHARA BAADA YA KIFO CHA MMILIKI

    Habari wana jf Nina complain moja kutoka kwa rafiki yangu familia ilipoteza baba mzazi na walikua wana mradi wa mashine ya kusaga nafaka iliyosajiliwa kwa jina la kibiashara na kulipa ushuru na TAX CLEARANCE KILA MWAKA NA MAKADIRIO YA TRA pia baba alikuwa mzabuni katika shule...
  13. Senior masai

    JamiiForums Tanzania Msaada: Utaratibu wa kuomba Passport ya kusafiria

    Habari wana JF, Ninaomba kufahamishwa kuhusu mahitaji ya application ya international passport na visa, katika vipengele hivi, Mahitaji muhimu Kiasi cha fedha katika process yenyewe Muda wa kukifatilia na muda wa kukipata Ofisi gani zitanisaidia kwa haraka na namkuta mtu wa cheo gani...
  14. Senior masai

    JamiiForums Tanzania FURSA YA WELDING

    Nilisahau hilo, hebu tuelezane pia
  15. Senior masai

    JamiiForums Tanzania FURSA YA WELDING

    Noted
Back
Top Bottom