mkuu, kuna watu wanakuwa wachumba hata miaka mitano, wakioana hata mwaka haufiki wameachana.
wengine wanakutana na kuoana within a week or month na wanadumu ktk ndoa.
uwazi, uvumilivu na upendo hujenga ndoa
Habari wakuu.
Nina miaka 41, niko Dar, mkristo (kkkt) na sina mtoto.
Nina ulemavu wa mkono mmoja, nimeajiriwa serikalini.
Nahitaji mke mwenye hofu ya Mungu wa kuishi nami.
Ambaye yupo serious tuwasiliane kwa pm.
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.