Recent content by sendee

  1. sendee

    Dar: Kijana apanda juu ya daraja Ubungo na kutaka kuonana na Mkuu wa Mkoa la sivyo atajiua

    Mzee wa matamko leo amesema mtu akikutwa msituni apigwe tu, nimemtafuta mama yangu kwenye sim sijampata ili nimpe taarifa asiwe anaenda tena msituni kulokota kuni
  2. sendee

    Nimegundua mchezo mchafu wa mke wangu

    Fanya mamzi magum %99 inaonyesha condom mwanaume utumia kwa kipindi cha kwanza tu ila wakishakuwa na mausiano yanayo zidi wiki moja swala la condom sahau. Kama utamua kujitoa mwanga kama wanachama wa Boko haram endelea kuishi nae
  3. sendee

    Koffi Olomide ahukumiwa miezi 18 jela kwa kosa la kumshambulia Dansa wake

    Siku ile nilisema anandamwa na msimu wa yule mzee alie fiya jukwani kwani walikuwa madui wakubwa sana, acha afundishwe adabu alidhani pesa yake itamsaidia kumbe heshima ni bora kuliko pesa
  4. sendee

    KENYA: Koffi Olomide ampiga mateke mnenguaji wa kike baada ya kutua jijini Nairobi

    Mzimu wa yule mzee aliyesikwa majuzi unamwandama kwani nasikia walikua madui wakubwa sana
  5. sendee

    Rais Magufuli: Kama Watalii hawataki kulipa kodi, VAT bora wasije

    Hili swala la vat sesikali itoe elim yakutosha kwa raia wake juzi nilienda kulipia bima ya chombo cha moto nikataka kulipa kama mwaka jana nikaambiwa eiti kuna hongeseko la %18 ya pesa ninayolipa chakushangaza hilo shirika la bima ni la serikali. Ukija upande wa benk hali bado sitofahamam TRA...
  6. sendee

    Rais Magufuli: Kama Watalii hawataki kulipa kodi, VAT bora wasije

    Ila ajue amebakisha miaka 3 wezetu kenya wanakosa nafasi za kuwaweka watalii wanawagiza waende africa ya kusin. Ushauri wangu kama raia wa tz nibora kutoa vat upate mapato mengi kuliko kuweka vat mapato kidogo mkitaka kuamini tazameni bandari mtapata jibu
  7. sendee

    Benki zaanza kuwakamua Watanzania kwa kuongeza kodi (VAT) ya 18%

    Labda mimi nilielewa vibaya naombeni ufafanuzi. Nilijua labda ukienda benk ukitoa m 1000000 unakatwa 180000 kama %18 ya pesa ninayotaka kuchukua au hapo imekaaje?
  8. sendee

    Mkuu wa Wilaya Serengeti aliyeteuliwa kimakosa aaibishwa kwa kutolewa nje ya Ukumbi Ikulu

    Serikali ya mwendo kazi[emoji40][emoji40][emoji40]
  9. sendee

    Msaada kingamuzi changu cha star time

    Wapigie star time kwa namba hiyo watakusaidia 0764700800
  10. sendee

    Kila nikifanya attempt naangukia kwa divorcee, single mother au mke wa mtu, why?

    Uvumilivu wa miaka 40 ulishawihi kuona wp? Acheni kumdanganya hakuna mwanamke mbaya utavyo mpanga ndivyo atakafyokua
  11. sendee

    Kila nikifanya attempt naangukia kwa divorcee, single mother au mke wa mtu, why?

    Usipofanya mamzi ya haraka mwanao atakuja kukuita Babu
  12. sendee

    Chati ya Kisiasa: Magufuli anaenda chini kasi, Kikwete anarudi juu taratibu

    Ukweli huyu rais wetu nashindwa kumwelewa. Ninafyo faham kwa elim yangu ya drz 7 kauli ya rais au ya malikia nikubwa kuliko kauli nyingine yeyote Duniani lakini kwa hili rais wangu sidhani kama analiwona. Jana atae endesha gari kwenye brbr ya mwondo kazi gari lake lifunguliwe watairi Waliyo...
  13. sendee

    Nimetapeliwa na baba mzazi, naombeni ushauri jamani

    Hakuna jambo baya na lenye lawama kama kufanya kazi ya nyumbani kwako au kuajiriwa na Baba yako. Kumfungulia mashitaka Baba yako nidhambi kubwa sana kumbuka bila yeye wewe usingekuwepo. Jitahidi kumsamehe angaliya fruza nyingine kwa marafiki zako uwanse maisha mapya
  14. sendee

    Maumivu kwenye unyayo fahamu chanzo na namna ya kutibu tatizo hili

    Nashukuru kwa ushauri mkuu ila mpaka ije iayachie maumivu yake ni makali sana
Back
Top Bottom