Recent content by senator

  1. senator

    JamiiForums Tanzania Rais kapotoshwa na wasaidizi wake utenguzi wa Kairuki?

    Kupangiwa kazi nyingine kwa mshahara upi anaoutaka yeye wa serikali hii ya JPM?!
  2. senator

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Mwanachama mwenzetu wa JamiiForums, Msamiati afariki dunia

    Ni huzuni na majonzi kwa Wana JF. Mungu aipumzishe mahala pema roho ya mpendwa wetu Titus. raha ya milele umpee ebwana na mwanga wa milele umuangazie.
  3. senator

    JamiiForums Tanzania Kassim Kayira wa BBC ahamia Azam Media

    Labda tujiulize ni kitu gani hasa kimemkimbiza Kaira kule BBC?
  4. senator

    JamiiForums Tanzania TAARIFA KWA UMMA; Motisha kwa yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa mtorosha MADINI Nje ya Nchi

    Waswahili wanasema...Jambo usilolijua litakusumbua.
  5. senator

    JamiiForums Tanzania Membe sio mmiliki wa Naf Beach Hotel

    Naona Mgonjwa umeongea facts ambazo wadau wamekuwa wapole kupingana na taarifa yako. Basi Nimekubali BCM hausiki na umiliki wa hizo hotel.
  6. senator

    JamiiForums Tanzania Urais Tanzania

    Mwakani(2015) kazi kweli kweli...Kila mtu akijipima anaona anaweza kutuburuza tu...
  7. senator

    JamiiForums Tanzania Rihanna ushangiliaji wako wa Goli la Mario Götze nimeupenda......

    She is hot...
  8. senator

    JamiiForums Tanzania Vituko vya abunuasi ni noma

    Abunuwas was the great...zipo nyingi sana hadithi zake na zilikuwa na mafunzo kweli... Kuna moja abunuwas nyumba yake iliungua moto,akifikiria atafanyaje na yale majivu ya nyumba yake akapata jibu,akayapakia magunia kibao ya majivu kwenye punda akafanya safari ya kwenda nchi ya mbali, kufika...
  9. senator

    JamiiForums Tanzania Za mwizi arobaini

    Binafsi nina uchungu sana na aina yoyote ya wizi...ndio mana nchi nyingine adhabu zake zinakuwa kali...Kibongo bongo hawa bodaboda na hawa wanaoendesha hizi boxer 150..ni balaa, pindi akidakwa mmoja wao nitakuwa tayari kutoa ushirikiano wakudemostrate jinsi ya kutoa kipondo kwa kibaka. Wamekuwa...
  10. senator

    JamiiForums Tanzania Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    :thumbup::thumbup:
  11. senator

    JamiiForums Tanzania Obama Live at The State House of Tanzania

    Watu wanaenda kula, kamera ya nn teacher?! Chamsingi ni hzo hotuba mbili za waheshimiwa na tumezisikia imetosha! Wacha waendelea kugonga msosi wao! Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  12. senator

    JamiiForums Tanzania daaaaaah hii ni kali kuliko na huyu kocha ni balaaa.....!!!

    Hahahahahahaha loh! Ama hakika hii kweli ipo sehemu yake huku luh!
  13. senator

    JamiiForums Tanzania Upi ujinga kati ya haya

    Hahaha tehe tehe duh inaonekana imeshakutokea mama wawili...vyema umetambua ingawa naona ni mazoea ya wengi
Back
Top Bottom