Habari zenu wanaJF.
Niende moja kwa moja kwenye mada,ugonjwa wa denguo ni ugonjwa ambao umekuwa tishio sana kwa sasa hapa nchini hususani maeneo ya Dar es salaam na Tanga.
Ugonjwa huu ulikuwepo tangu awali lakini kwa sasa umekuja kwa kasi mpya zaidi kiasi cha kuenea hadi mikoani,kama ambavyo...
mkuu nahisi wewe hujawahi kuwaona wanakondoo ambao ni wanasesere wakitoka au kwenda kanisani,dada zetu wengi wanavaa shortdress siku hizi wakienda ibadani.
By the way naweza kusema katika imani zetu out of waislamu sisi dini zingine za hapa bongo land bado hatuna misimamo dhahiri kuhusu nidhamu...
Umesahau kuwa vyuo vikuu ni biashara,hata wewe unaweza kuanzisha cha kwako na ukapata faida chini ya taratibu zilizoweka na tume ya vyuo vikuu na serikari.
Habari za leo wanaJF.
Ni siku kadhaa zimepita sasa tangu serikari yetu tukufu ya Tanzania imetoa onyo la kusitishwa kwa matumizi ya mifuko ya plastiki na nailoni.Hili ni jambo jema kabisa kwa faida ya jamii yetu ya sasa na vizazi vijazo.Pia niunge mkono juhudi za serikari yetu katika kufanya...
mkuu hakika ndoto yako ipo sahihi,maana taifa letu linategemea siku ya jumapili ijayo kuwa na mtafaruku mkubwa na harakati za hapa na pale kuanzia kwenye kanisa la baba Askofu.
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.