rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,495
- 41,916
Aisee jana kwenye Msiba wa Mzee wetu Mengi kulikuwa na Maajabu mengi sana mara Bashite aonyeshe kiburi cha uzima na pedo yake iliyochanika Magotini ilee lakini Kibaya zaidi ni namna Watu wengine waheshima walivyo vaa kwenye Ule msiba kimsingi haikuwa sahihi japo Inawezekana kabisa walipendeza lakini Kanisani ni sehemu patakatifu sio pakwenda umevaa kisela au mavazi yenye utata..! Millard akaamua Apige Cap... Katibu wa Fisiemu akaona ashikilie dini yake akapiga Barakashia
Watu wajifunze Kuvaaa mavazi sahihi kwa wakati sahihi na sehemu sahihi hasa Viongozi wetu wa Nchi
Watu wajifunze Kuvaaa mavazi sahihi kwa wakati sahihi na sehemu sahihi hasa Viongozi wetu wa Nchi