hata huku mwanza nilipo kuna case kama hizo nyingi tu pale hospitali ya mkoa, hayo siyo malezi ya songea tu bali tatizo lipo nchi nzima hasa kwenye familia zenye kipato cha chini na elimu ndogo
malecture au lecturers.!?, kweli wewe elimu haijakukomboa, ina maana akitoka UD au DIT kwenda kufundisha st. joseph ni tatizo, unawafaham flying lecturers wanaosafiri dunia nzima kutoa lectures kwenye different universities duniani.!? kwahiyo wewe ukaona hao wananjaa sana eehh wakati hiyo ndo...
kuna aina mbili za dushe, shower na grower, hii grower ina kawaida ya kuwa ndogo sana ikiwa haijasimama lakin ikisimama huongezeka kwa karbu 75% ya umbo lake hivyo huwa kubwa vzur tu, na hii shower yenyewe ni huonekana kuwa ni kubwa ikiwa imelala hivyo inaposimama huongezeka kidogo tu kufikia...
mweeh sugu nae waziri kivuli, ina maana hawa ndg km wangekuwa madarakan ndo baraza lao la mawaziri lingekuwa hivyo.!!? kwi kwi kwi teh teh teh kwl hawa bado sn
old mandela ndilo jengo bovu pale cz kuna wing moja km ckisei left wing ilifungwa kitambo tu kwasababu ya nyufa kubwa zilizojitokeza ukizingatia ni ghorofa, niliondoka pale form 6, 2010 hali ya jengo kwa kwl syo nzur lakn kw yaliyobaki yote yalikuwa poa mapinduz ujamaa madarasa ya form 6 yote...
ulimuelewa vizur au unaandika utumbo 2 hapa.!? amesema lukuvi anastahili kupongezwa kwa kuongea ukwl ambao viongoz weng wanaujua lakn walkuwa wanashndwa kuuongea, ukwl ambao ni hofu iliyopo miongon mwa serikal lakin hata waislam wnyw walkuwa hawaujui achilia mbali wazanzibar
sikilza sawasawa...
inaonekana mlifunga kumuombea kifo eeh, au na nyie mlimshtakia mungu (albadir), nyie si mnasema hamlipi ubaya kw ubaya.!? wazee wa kusamehe saba mara sabini, sasa kwanini mlimuombea mwenzenu afe.!?
pspf commercial building 152mtr ndo refu zaid tanzania na africa mashariki kwa ujumla na la 3 barani africa likiongozwa na ponte city apartments tower johanesburg 173mtr south africa, Nitel building 160mtr lagos nigeria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.