Recent content by sembeiwe

  1. S

    Salaam kwa Ismail Aden Rage - Tabora Mjini; Jiandae...

    Halafu nilikuwa sijaona ile pichaaaaaaaaaaaaaa. JAMANI Kweli huyu Ndiye anae tafutwa na jeshi la kenya!!!!!!!!!!!.......... LI-BASTOLA LA NINI MKUTANONI? kanyoli ba'gosha.
  2. S

    Salaam kwa Ismail Aden Rage - Tabora Mjini; Jiandae...

    Na uzipate kweli salaam hizi MJOMBA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! SISI ndo wa ukweli na TABORA HUYU jamaa mnajua kama alikuja kwa lori la fusooooooooo! nawashangaa hata waliompa kura hizo CCM nyinyi mnauza nchi kinyemela mara wahindi mara wasomali ndiyo maana hawana uzalendo hawa. sasa...
  3. S

    Zitto amkaribisha Kafulila CHADEMA

    ZITO asijichanganye,huwasipendi watu wasio kuwa na misimamo. naamini zito ni makini na kwa umakini huo ya NCCR AACHANE NAYO.
  4. S

    NCCR Mageuzi yamfukuza uanachama Kafulila na wenzake!

    ya ngoswe mwachie ngoswe! CHADEMA mkimpokea hapatatosha.! kigoma kuna wanachama wengi hilo jimbo tulimwachia kwasababu alionekana kuwa anaweza kumbe kweli hawezi. mtu ambae hawezi kutumia vikao kukosoa wenzake badala yake anakimbilia magazeti na tv. Acha ile kwake ajifunze.
  5. S

    Dk. Slaa, usikubali kuongeza virusi kwenye chama

    Habari wanajamii forum? ukweli inauma sana kuona vyama tunavyo vitegemea kuleta mageuzi vinaishia kurumbana badala ya kuweka mikakati ya ushindi. kwa hili la Kafulila kamati kuu ya chadema mnalo jukumu kumkubali ama kumkataa, hii endapo atataka kurudi kwetu. cha msingi hapa ni hadidu za rejea...
  6. S

    Secret state: How the governemnt spies on you!

    kwa utaratibu huu kwanini wanapa taabu kuwakamata waharifu na kuwamaliza kabisa?
  7. S

    Wakusoma

    huyu kawafanya nini jamani?
  8. S

    Kasuku

    mi nimecheka sana
Back
Top Bottom