Recent content by selukeng'e

  1. S

    Nyumbanitu: Msitu wa ajabu mkoani Njombe wenye kuku weusi, ng'ombe weusi, mbuzi weusi na kondoo weusi

    ninaomba kwa anayejua habari za sehemu hii atujuze zaidi ili kwenda kuongeza pato la Taifa
  2. S

    Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

    Vanila imekupa million 100 kwa nini usiwekezeee zaidi hapoo vanilani
  3. S

    Barabara ya Mbagala hadi Kongowe inatesa wananchi Serikali itupie jicho

    Kwa wakazi wa Toangoma Kongowe Mkuranga Vikindu na hata abiria wanaotokea Dar kwenda Lindi, Mtwara, Songea na masasi watakuwa wameshakutana na kero ya kipande cha barabara kutoka Mbagala hadi Kongowe ambapo Barabara ni nyembamba sana. Kero ya barabara hii hutokea pale mlima wa Kokoto ambapo...
  4. S

    Pikipiki inahitajika, bei isizidi milioni moja

    Habari wakuu, ninahitaji kununua pikipiki aina ya kinglion ambayo no nzima sana bei isizidi milioni kwa mwenye nayo aweke picha hapa na mawasiano
  5. S

    Ninahisi nina kibamia...

    Wadau ninaomba kujua ili machine ya mwanaume iitwe kibamia iwe chini ya inchi ngapi? Wa kwangu ukisisimana in NchI sita, lakini wanawake wengi wamekuwa wakiniambia mbona kadogo hivi. Hata hivyo huwa nakuwa mnyonge nikiambiwa hivyo
  6. S

    Nimepewa likizo ya bila malipo kisa Corona

    Kutokana na hill janga la korona nimepewa likizo ya bila malipo. Mimi ni mwalimu katika shule moja private, likizo hii tumepewa wafanyakazi wote. Ninapitia wakati mgumu sana ninapenda kuwashauri vijana ambao bado hamjaoa nivema mkaoa wadada wafanyakazi pia jaribu kuwa na biashara pembeni...
  7. S

    Android phone for 50,000

    chukua 40 mi nipo kigambon
  8. S

    Kuna kila dalili uchaguzi mkuu 2015 hakuna

    wakiongeza hata second naingia msituni
  9. S

    Jaribio la kijeshi kumuondoa Rais wa Burundi madarakani

    ninayabariki hayo mapinduzi
Back
Top Bottom