kaka Zitto kwann jana kwenye mkutano wako ulitoa salamu za TL badala ya CHADEMA if you real need strong institution? hasa kipindi hiki ambacho uchochezi na rubbish ni mingi?
Kama Wamarekani wana kautaratibu japo sio rasmi wa kubadili sasa huoni kama hata kama wote ni binadamu au waTZ ni veema kubadilishana badala ya kusema wote ni sawa? kwa uelewa wako CCM ni sawa na ACT kiitikadi? Hapo sijazungumzia matendo. Kwani vyama vingi vilianzishawa 1961 or 1977 au 1992...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.