Baada ya muswada wa madini kupita, serikali yatangaza kuanza mazungumzo rasmi na Acacia

Jamaa wanasema
"All three of our mines are continuing to operate in line with the previous announcements!"

Sasa kama hawa jamaa wanatuibia, wakati mazungumzo yakiendelea na kabla hayajaisha si watakuwa wametuibia zaid?.

nilitegemea Wazuiewe kuchukua mali, mpaka mazungumzo yaishe!

Lakini hawa ACACIA si tuliambiwa kuwa wanafanya ishu za uchimbaji bila kampuni yao kujisajili BRELA kinyume cha sheria?, sasa kwa nini waendelee kuzalisha wakati tumeshasema ni wezi?
Hii Inaitwa pasua kichwa...
 
Ukiangalia Notice and contributions ndo utajua WaTZ ni watu wa namna gani. Asante sana Baba Mola
 
Soma Hiyo Notice vizuri uielewe mkuu, usikurupuke tu; By the way ni hatua nzuri sana kuanza mchakato wa majadiliano.

Accacia hapo wanasema wataafiki kila litakalokubaliwa na wamiliki wa migodi hiyo, katika meza ya mazungumzo na serikali, Ukawa mnatabu sana kwenye uelewa, mnaishia kupotosha tu.

"Any potential resolution that might be identified as a result of such discussion will be subject to Acacia's approval.

Kwa hiyo hapo kwenye hiyo sentensi ndio wewe ndio umeelewa kwamba: Accacia wanasema wataafiki kila litakalokubaliwa na wamiliki wa migodi hiyo, katika meza ya mazungumzo na serikali" ???!

Halafu unawaambia watu eti wasome waelewe waache kupotosha! Kweli?!
 
W
sawa mkuu nimekuelewa.

hapo kwenye red ndiyo mashaka yangu yapo. hii naturally ina-trigger formal legal proceedings.

swali...kama mazungumzo ya kawaida ndiyo the way forward, why press the legal button now? isn't this jumping the gun too soon too fast?? what is the catch?

mkuu, haya mazungu siyo misukule ujue!
Wamesema wameamua ku-serve hiyo notice of Arbitration ili kuwalinda shareholders wake... Wamesema makubaliano yoyote yatakayotokea kati ya serikali na mmiliki wao barick ni lazima wao accasia wayaridhie kwanza, kwa maana hiyo ni kwamba kama wasipoyaridhia itabidi waende kuwalinda shareholders wao huko kwenye arbitration court... kwa hiyo notice ya Arbitration ni matayarisho ya legal proceedings incase mazungumzo ya barick na serikali hayatakuwa na manufaa kwao accacia
 
Yaani ukifuatilia maoni ya wachangiaji katika hii topiki unaanza kupata ufahamu taratibu kwa nini mtu mweusi uwezo wake wa kufikiri ni finyu sana. Kwa nini mtu mweusi anadharaulika sana duniani, yes, anadharaulika sana. Nimeishi na wazungu, na ninaendelea kuishi nao. Wanatudharau sana, japokuwa hawawezi kukuonesha waziwazi kama muhindi au mwarabu anavyoweza kukuonesha waziwazi.

Sasa nimeanza kupata majibu, kwanini tip-tipu na gobore lake alikuwa anaswaga sisi nyani weusi 500 kutoka ujiji mpaka bagamoyo, na kutupeleka kule arabuni.

Sasa nimeanza kupata majibu, kumbe zile mentality za watumwa bado zinatutawala vichwani mwetu. No wonder, Dr.Watson alisema mtu mweusi ana IQ ndogo sana.

Sasa nimeanza kupata majibu, kwa nini mtu mweusi yupo hivi jinsi alivyo.

Ahsanteni sana kwa kunielimisha ndugu zangu
Wacha uongo. Hiyo ya tiptip ni uongo wako tu huo. Weka ushahidi kama u mkweli.
 
Na inasemekana wameenda kufungua hilo jalada la Arbitration baada ya hiyo miswada ya dharura kuweka kifungu kinachowataka wa re-negotiate mikataba... walivyoona hiyo wakaona hii issue ni lazima wataipeleka mahakani, maana inaonyesha hawataki ku re-negotiate mikataba wala nini... why? Ungekuwa wewe unge re-negotiate mikataba inayowawezesha shareholders wako kumiliki ma-private jet na maraha mengine kisheria kabisa...?! Eiiiiiiiish...
 
pamoja na hayo Acacia wamesema mazungumuzo yeyote yale yatakayofikiwa kati ya serikali na barrick lazima acacia ayabariki na hata hivyo amesema atatoa ushilikiano kwa barrick katika kutatua mzozo huu.
Mali ni yetu lakini kinachoonekana sisi ndiye tumegeuka kuwa waomba huruma kwa Acacia wakituuliza swali moja tu kwamba kwani mikataba inasemaje hatutakua na jibu zaidi ya kujibu kilichoandikwa kwenye mkataba au wakisema mikataba iendelee kuheshimiwa Kama ilivyo hapo hatunachetu kwa kuwa tumejimaliza wenyewe kwa ujinga wetu wa kuendelea kulikumbatia zimwi CCM ambalo limetufikisha mahali hapa.
 
Kusadikika.jpg
kufikirika.jpg
 
Kwenye disputes kama hizi za kimataifa any arbitration has to be registered through ICC (International Chamber of Commerce). Hivyo any resolution of such kind lazima arbitrator awe recognized na taasisi hiyo. We must remember Barrick, Acacia whatsoever are International companies and not local companies. I wish our officials are well prepared in that way. In this way they have to act locally and think globally (internationally). We wish them all the best as we need our Brand new NOAHs. Mungu Ibariki Tanzania

Arbitration - ICC - International Chamber of Commerce

ICC Arbitration is a flexible and efficient procedure for resolving domestic and international disputes.
The awards are binding, final and enforceable anywhere in the world.

ICC- Paris Ufaransa
 
ndiyo acacia hawapo but mazungumuzo hayo lazima acacia ayakubari. asipoyakubari acacia hapo hakuna la maana
Barrick ndio wenye majority share kwa maana nyingine Acacia hana maamuzi kwenye hili kama Barrick atakubali kuongea na serikali
 
Back
Top Bottom