Bata mzinga bata wa kawaida mana wapo aina mbili ila nafurahi naisi ntakuwa na akili za bata mzinga ushawahi muona bata mzinga mbona poa sana woyoooo!!
Wewe hapo umezingatia uandishi? Sijawahi ona aina ya sentensi yako kwenye kiswahili ata siku moja kiima na kiarifu kiko wapi eti unaandika Nani alafu ana kukimbiza duh!! Kosoa wezako ukijiona mwenyewe upo complete in words sio unaongea tu.Andika ivi Nani anakukimbiza? Basi wewe na mimi wote...
Nilikuwa na mwanaume ambaye tushaachana kwa sasa, tulibahatika kupata mtoto mmoja tuliachana katika ugomvi flani tulirushiana maneno mengi mengi ila sio matusi wala sio kashfa ni ya kawaida tu. Mimi nimepata mwanaume handsome yani yeye haingii kwa huyu japo naye ni mzuri pia kama kuna post yangu...
Nilikuwa na mahusiano lakini badaye yakavunjika, yalivyovunjika nikawa na wakati mgumu sana ku-recover lakini ikanibidi niwe na mahusiano mapya kwajili ya kupata faraja. Kwakweli sikuchukua mda maumivu yote yakaisha na nikamsahau kabisa X wangu.
Mahusiano ya sasa nampenda sana huyu mwanaume na...
Naitwa selina ni mwanachuo nasomea uhasibu AAR ngazi ya Diploma,
Jamani tangu misukosuko inipate nimejikuta kasi yangu ya kusoma imepungua sana hadi lecture akauliza darasani nina matatizo gani certificate nilipata misukosuko ya kimaisha lakini perfomance yangu ilikuwa nzuri sana sikuwahi...
Huyu mama mkwe kama mnafiki naona kama saizi ananipenda sana baada ya kuachana na mtoto wake.
Nakumbuka uko nyuma niliwahi kaa kwake na mtoto ake alimwambia mtoto wake nirudi kwetu kwani sio vizuri kuendelea kukaa pale kwasababu alitoa barua tu.
Ila nikiwa mbali alikuwa ananitafuta kunijulia...
Nilipata siku zangu mwanzoni mwa mwezi wa tano nikimaanisha kuanzia 1..2.3..sikumbuki nilitumia siku ngapi ila tareh 13 ya mwezi huo nilikutana na mtu nina shida ya vidonda vya tumbo pia sasa maeneo ya chini ya kitovu nashindwa kuelewa nina shida gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.