selina mrembo
Member
- May 18, 2020
- 54
- 68
Nilikuwa na mahusiano lakini badaye yakavunjika, yalivyovunjika nikawa na wakati mgumu sana ku-recover lakini ikanibidi niwe na mahusiano mapya kwajili ya kupata faraja. Kwakweli sikuchukua mda maumivu yote yakaisha na nikamsahau kabisa X wangu.
Mahusiano ya sasa nampenda sana huyu mwanaume na anaonesha kunipenda pia lakini shida tuko dini tofauti, kosa dini kwakweli niliridhika kwa kila kitu yaani kupanga naye maisha muda mwingine huwa namtumia text nikimwambia tuachane kwasababu naona mahusiano yetu hayana future. Utakuta anakosa raha na kulalamika sana kwamba ananipenda na ananihitaji na hiyo siku atatuma meseji nyingi sana za kulalamika kwanini naamua kuutesa moyo wake n.k na anaonesha kukosa raha.
Huyu mwanaume ana sifa ninazozipenda na ninampenda kupitiliza mara nyingi inatokea namtumia meseji za kumwacha akilalamika tunaanzisha tena mahusiano, nimemwacha kama mara 4 namtumia text za kumwacha akilalamika namwomba sorry tunakuwa tena pamoja na hatuchukui hata masaa kupatana tena.
Shida hawa waislamu wanakuwa na wake zaidi ya mmoja ndio maana inaniwia vigumu sana kujiattach moja kwa moja angekuwa kama msabato T.A.G etc yani angekuwa na dini inayorelate
Na mimi kwakweli nilishamkabidhi maisha yangu all in all bado tupo kwenye mahusiano lakini nimekuwa mtu ambaye nipo for temporal tu not permanent.
Napoteza hadi mood sometime kwajili tu ya dini yake ila nampenda sana jamani.
Mahusiano ya sasa nampenda sana huyu mwanaume na anaonesha kunipenda pia lakini shida tuko dini tofauti, kosa dini kwakweli niliridhika kwa kila kitu yaani kupanga naye maisha muda mwingine huwa namtumia text nikimwambia tuachane kwasababu naona mahusiano yetu hayana future. Utakuta anakosa raha na kulalamika sana kwamba ananipenda na ananihitaji na hiyo siku atatuma meseji nyingi sana za kulalamika kwanini naamua kuutesa moyo wake n.k na anaonesha kukosa raha.
Huyu mwanaume ana sifa ninazozipenda na ninampenda kupitiliza mara nyingi inatokea namtumia meseji za kumwacha akilalamika tunaanzisha tena mahusiano, nimemwacha kama mara 4 namtumia text za kumwacha akilalamika namwomba sorry tunakuwa tena pamoja na hatuchukui hata masaa kupatana tena.
Shida hawa waislamu wanakuwa na wake zaidi ya mmoja ndio maana inaniwia vigumu sana kujiattach moja kwa moja angekuwa kama msabato T.A.G etc yani angekuwa na dini inayorelate
Na mimi kwakweli nilishamkabidhi maisha yangu all in all bado tupo kwenye mahusiano lakini nimekuwa mtu ambaye nipo for temporal tu not permanent.
Napoteza hadi mood sometime kwajili tu ya dini yake ila nampenda sana jamani.