Au ni kitu gani kinaweza saidia matiti yaliolala kuwa firm, kujaaa, kunyanyuka juu.
Jamani ni hivi kuna wadada wana matiti yamelala na sio kwamba washazaa au labda ni malaya, maana kuna malaya lakini wana matiti madogo.
Hapa naongelea matiti yenye size ya kawaida ambayo mpaka yavalishwe bra...
Wasipende kumwaga mipesa hovyoo,, kama mwanamke anakupenda anakupenda tuu na sio lazima umpe hela,, mfano utoaji wa hela uwe na sababu za msingi mfano anakuambia anaomba hela ya kununua weaving 400,000 na mwanamme unatoa,,au sijui akanunue CL ya milioni moja..
Au mwingine anaamua kumlipia ada...
Tumia tangawizi mimi ilinisaidia sana, chukua kipande cha tangawizi twanga chemsha na maji. Kunywa. Fanya asubui mchana na usiku kabla hujaenda kulala.. Na kuhakikishia baada ya siku mbili kitakuwa kimeacha kabisa..
Ila tahadhari usizidishe sana tangawizi,, isiwe kali sana mpaka kuumiza utumbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.