deezekiels
Member
- Mar 20, 2014
- 42
- 3
Nashukuru kwa ufafanuzi ndugu, mimi ninachelewa kupata usingizi, kwa hiyo ninalala masaa 6-7, umri wangu ni miaka 28, maji nina kunywa lita 1.5 kwa siku, choo ninapata vizuri, lakini wakati mwingine nahisi ganzi ubongo wa nyuma hivyo napoteza kumbukumbu na kukosa hisia au mguso wa matikio na kuchelewa sana kuhisi uhalisia wa tukio lolote mfano kams ninapata taarifa ya kuhuzunisha au kufurahisha nachelewa sana kupata mguso huo, wakati mwingine ni kama sina nerve senses