Recent content by Selemani Sele

  1. Selemani Sele

    JamiiForums Tanzania Vitu nilivyoona ambavyo vinanipa utata nikivifikiria hadi leo

    Kuna mwamba alikuwa anaitwa meshack alivunja kufuli la dorm kwa ngumi
  2. Selemani Sele

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi la mdada trafiki lilivyonitesa

    Kila siku tatizo jipya
  3. Selemani Sele

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi la mdada trafiki lilivyonitesa

    Aisee, Ngoja nipumue kidogo mwaka jana mwezi wa sita nilitongoza mdada kitaa, akanikubalia tukawa wapenzi. Sasa huyo dada hakuniambia kwamba ni Trafiki nilikuja kugundua nilivyopita Ubungo Mataa na kumuona. Sasa kuna siku mwezi wa 11 mwaka jana nikavusha mdada ghetto akatufumania, nilionba...
  4. Selemani Sele

    JamiiForums Tanzania Mayai ya kisasa yenye kiini cha rangi ya chungwa (orange)

    SERIKALI IINGILIE
  5. Selemani Sele

    JamiiForums Tanzania Mayai ya kisasa yenye kiini cha rangi ya chungwa (orange)

    too much imekuwa
  6. Selemani Sele

    JamiiForums Tanzania Kuipenya Law School of Tanzania (LST) – Hizi Ndizo “Code” Zilizoniokoa, Huenda Zikakuokoa Pia

    ila kile chuo kuna watu huwaga wanalia mtu yupo toka 2018 civil inamshika
  7. Selemani Sele

    JamiiForums Tanzania Mayai ya kisasa yenye kiini cha rangi ya chungwa (orange)

    Sisi watoto wa Dar,Mabachelor Mlo wetu main ni Ugali na Mboga Ya Mayai. Na kama ilivyozoeleka Yai kiini chake ni cha Njano ila Tangia Juzi nikinunua Mayai kiini ni cha Rangi ya Chungwa (Orange) na halina Shombo hata Kidogo nawaza haya mayai ya nini au Tuhamie Kwenye Kienyeji,
  8. Selemani Sele

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Ni kweli Jonathan sowah kasaini kwa wanalunyasi simba sports club. DEAL DONE
  9. Selemani Sele

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    RNB IN ITS PEAK
  10. Selemani Sele

    JamiiForums Tanzania KERO Mahakama ya Mwanzo Mjini Sumbawanga ina mahakimu 2 tu

    Tuma kwenye email ya Judiciary
  11. Selemani Sele

    JamiiForums Tanzania Nina serious clients wanaohitaji huduma kukosa ofisi kumekuwa "red flag" inayonikosesha pesa naombeni msaada wadau

    Kuna hizi zo spaces unaenda unalipia siku moja unapiga kazi fresh
  12. Selemani Sele

    JamiiForums Tanzania Baada ya malalamiko ya muda mrefu, Barabara ya Kivule yaanza kurekebishwa

    It took 5 years for them to do this damn
  13. Selemani Sele

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    Anaejiweza ajee
Back
Top Bottom