Recent content by Selemani Sele

  1. Selemani Sele

    Viti Maalum wanamaliza hela za wananchi bila sababu

    Kwa msaada wa wiki pedia Viti maalum vya wanawake ni nafasi bungeni zinazotolewa kwa utaratibu unaopatikana katika nchi mbalimbali na unaolenga kuongeza idadi ya wanawake na athira yao katika bunge na mabaraza na kwa njia hiyo katika siasa ya nchi hizo kwa jumla. Kuna nchi nyingi za dunia...
  2. Selemani Sele

    Kama ungekua na uwezo wa kurudisha nyuma muda manzi mmoja uliepiga na unajutia. Angekua anaitwaje?

    Kuna ule.muda unakaa peke yako unasema najuta kufanya ngono na yule demu natamani muda urudi nyuma ili lisitokee. Kwa mimi ni Aneth mshenzi alinipa gono na uti sugu Nilikuwa nalia kama mtoto kudadeki. Wewe je ni yupi huyo unajutia .
  3. Selemani Sele

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Imeongelewa kwenye hiyo kesi judge kacourt kabisa
  4. Selemani Sele

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Wengi wamepigwa nmb pia alipigwa court of appeal labda watapunguza hela
  5. Selemani Sele

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Hii kesi ya crdb ya unfair termination Na kwamba kisa cha hii kesi ni employee alikuwa haji kazini jumamosi kwa sababu ya kuwa msabato, kwahiyo baada ya kukosa jumamosi kazaa akafukuzwa kazi. Kwenye kesi muajiriwa akatumia kifungu cha freedom of religion na bank inataka kumkatalia dina philipo...
  6. Selemani Sele

    JamiiForums Usiku wa manane

    01:37 Jobless nikimalizia kazi za madalali
  7. Selemani Sele

    Uhaba wa sukari umekithiri Jijini Dar es Salaam. Je, hiyo iliyoagizwa haijafika bado?

    Ata elfu 4 man😂double the price is a heck of shit
Back
Top Bottom