Kwa sasa naona mfumo PRSR mitihani ya written mingi ipo katika multiple choice ( Maswali ya kuchagua) hakikisha unapitia kila kitu maana watu ni wengi hivyo competition ni kubwa sana Usiache kumtanguliza Mungu jibu maswali kwa Usahihi. Ukifanikiwa kuingia Oral huwa wanatoa dakika kumi hadi 15...
Nenda kwenye usahili mkuu mi nilienda kwenye usahili nafasi zilikuwa 20 tulienda watu 700 lakini nikatoboa. Kimubwa weka juhudi kwenye kusoma, Mtangulize Mungu ukifanikiwa kuingia oral Onyesha uwezo yani hadi pannel ione yes huyu ndiye tunaye muhitaji. All the best mkuu.
Habari naomba kuuliza ivi kwa zile nafasi za utendaji wa kijiji na Mitaa ukishatuma maombi unasubiri baada ya mda gani uitwe kwenye interview? kuna dogo analalamika apa kuna matangazo toka mwezi wa saba Mwanzoni katuma maombi na yameisha mda wake ila hadi leo bado hajaitwa?
Huu mfumo kwa sisi tuliosoma mzumbe tunaelewa E-learning sio poa unaweza ukajikuta test unapata 0.5/15 uchungu wake unakuta upo swali la kumi alafu dadika zimeisha Test ina ji submit yenyewe kikubwa kuwa fasta kwenye kujibu maswali kwa umakini na haraka
STATUS: searching for Interniship Position
PROFFESION: Bachelor Degree in Public Administration
UNIVERSITY: Mzumbe University
EXPERIENCE: 4 Months as Assistant Human resource officer.
LOCATION: Dar es salaam
EMAIL: jongosemani970@gmail.com
OTHER SKILLS: Microsoft Packages (Exel...
Hii kwa wanaume wenzangu ukimpenda Mwanamke Muweke akilini na sio moyoni. Moyo mkabidhi Mungu pekee, Maana siku zote Mwanadamu Mke /Me mda wowote anabadilika. Ukimuweka akilini ni rahisi sana ku Move on pale ambapo mtaachana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.