Mwache ajidanganye tu, but kama andhan anintelligensia ya kutosha ya wanyarwanda hapa Tanzania asidhan, Tanzania haina intelligensia ya kutosha huko Rwanda, hana hoja na hatumuogopi, yeye aendelee kutisha waasi wenzie huko siyo TZ.
Its tue ila nadhan c Tanzania pekeyetu wenye mfumo huu wa mwisho wamwezi, nadhan the whole of Africa inabidi ibadilike na tunaweza tukaanza cc kwani inawezekana. Gud insight.
Jamani kwani hili la serikali tatu imeshakuwa sheria?, msituletee mambo ya asilimia 16 ya watanzania kuwa ndiyo maoni ya nchi, tupo wengi tunaotaka serikali mbili ziendelee na c pengo pekeyake, na watu waache majungu ya kisiasa hasa kwa kutaka kutengeneza nafasi za kiuongozi ilikwamba wakikosa...
Tuachane na porojo za kikabila tuwe wakweli, hawa wa kaskazin na ukabila wao kutawala itakuwa ni ndoto, hivi ni wapi katika Tanzania ambapo watuwake hawana akili, na Huyo nyerere aliyemzidi akili Marealle naye alikuwa wa kaskazini?, achana na pumba na mjadili mambo ya maana, bogaz.
Cpend kujadili watu, I prefer tujadili issues, hili siyo jukwaa la simple mind its for average mind who discuss events and strong mind only who discusses issues/Ideas,
Sasa ataruhusu gongo kitaaluma au kisiasa, maana kwa taaluma ya hapo juu, he is going to kill many, kama viroba tu ni ishu na je gongo ikiruhusiwa, I cant imagine, aje na jingine pls!!
Wewe umewajuaje, kama unaushahidi wa kutosha go public, haiwezekani nyara zetu zinapotea na watu kama wewe mpo na mnakaa kimya na data, "the great tragedy in this world is not to do evil, but is when bud thing happen and good people just do nothing" - ukiendelea kukaa kimya nawe tunakuingiza...
Hebu tutajie angalau hayo makabila bac, hata na cc tuone ukweli ama uongo uliomo hata kama hakuna mahala kikatiba ama ki sera inayo halalisha ucemi wako. Watu wapige kaz tuone kama hatajawapa URAIS{waache wiz, ubinafsi)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.