Msimamo wa Nyerere, Mareale UN ulikuwa mmoja

huyu sio yule pasco ninayemfahamu. Huyu ni mkabila! Anayetetea habari za makabila! Anasema nchi haitakaa kamwe itawaliwe na mchaga hata kama anazo sifa sahihi! Nimemsamehe bure kwa sababu mwishoni amewsema kuwa ana grievances za kindoa na mkewe mchaga! Pole ndugu yangu. Angalia zisikupeleke mbali hadi kujisahau kiasi kikubwa hivyo! Mimi sio mchaga lakini nataka raisi wa tanzania mzalendo, mwenye maadili mema, mwaminifu, mchukia ufisadi na dhuluma, mtetezi wa maskini, mwenye itikadi safi n.k. Bila kujali kabila wala dini yake wala kanda anayotoka!

Ambaye ni adimu sana kutoka ukanda tajwatajwa!
 
​Hivi majuzi , mzee Kisumo alipokuwa anahojiwa na gazeti la mwananchi alisema kuwa Nyerere alipokwenda UN kati ya mwaka 1955, 1956 na 1957 alikutana na Cheaf Marealle akimpinga Tanganyika kupewa uhuru, au akitaka uhuru wa KILIMANJARO pekee(Chagga land)!

Kisumo ni mzandiki na alikuwa na chuki binafsi na ukoo wa Marealle, ndio maana amekuwa akitoa kauli hizo za kuuchafua ukoo wa Maraelle na kuharibu historia nzuri na chief huyo.

Na chakusangaza mpaka leo kwenye mashule, vyuoni watu wamekuwa wakifundishwa hivyo, kumbe ni juhudi binafsi za Marealle kumchafua Chief. Hata mimi nilikuwa nimeathirika na hiyo mitizamo hasi ya watu juu ya Paramount Chief Marealle.

UKWELI HUU HAPA; Kama ilivyosemwa na ndugu wa ukoo pia kwa mujibu wa maandiko mbalimbali katika historia, ambayo Kisumo nahakika hakuwa kuyasoma, hata wale Wahadhiri wangu UDSM cjui walikuwa wapi hawakuyapitia wakati wakinifundisha huu uongo wa Kisumo. Wanahistoria hao ambao ni AJ HUGHES katika kitabu ch East Africa, J CLAGGET TAYLOR ktk kitabu cha Political Development of Tanganyika na BERNARD CHIDREZO ktk kitabu cha Tanganyika and International Trusteeship, wote kwa upande mmoja wakisema kuwa Chifu na Nyerere waliafikiana juu ya lini Tanganyika ipewe uhuru wake, wakati Nyerere akisema muda wa kijiandaa kujitawala uwe "kati ya miaka 20-25 mwaka 1955, na mwaka 1956 iwe na kati ya miaka 10-12, Chifu Marealle alisema mwaka 1957 kuwa muda wa kujiandaa kujitawala iwe ni kati ya 10-15.

Katika hotuba ya mwaka June 18, 1957, Mwalimu Nyerere alisema hotuba ya Chifu UN ilikuwa ya maana kuliko ya kwake, " the statement of Chief Marealle II .....has been greater significance than mine"' na kwamba Chifu alikuwa anawakilisha Chifu wa Taifa na mwakilishi wa machifu wenzake.

Sasa huyo Peter Kisumo inayesemwa kuwa alikuwa karibu na Mwalimu kwann anataka kutudanganya, ni watanzania wangapi leo wanamaoni hasi juu wa huyu chifu, Je, serikali inachukuwa hatua gani kurekebisha hii historia ya Marealle ambaya inazidi kuharibiwa na Kisumo.
Mzee Kisumo alisema kweli huo ushahidi wako mbona mwepesi sana.
 
kila tukisema wachaga ni wabaguzi na watu wa kujiona tunaambiwa tunawaonea wivu kwa kuwa wamesoma...
(sijui kabila gani hawajasoma siku hizi)

ushahidi upo katika huu uzi...

siku mchaga akiwa raisi basi hadi majogoo yatanyang'anywa kazi zao za kuwika alfajiri,wapewe wachaga

Aiseee!
 
Alichosema Kisumo ndicho sahihi!. Mjerumani alikuwa akitumia utawala wa direct rule, Muingereza ndio akaleta indirect rule ya devide and rule!. Wagawanye uwatawale kwa kuanzisha utawala wa uchifu!. Machifu walifanywa wajione wao ndio bora zaidi, na mkuu wa machifu wote Tanzania ndio Mangi Mkuu, Thomas Marealle!.

Ni ukweli usiopingika watu wa koo hizi za kichifu walipendelewa ikiwemo kupewa nyumba na Malkia kule London!. Hawa walikuwa ni vibaraka wa wazungu!, walinuona mkoloni ni bora zaidi kuliko mtu mweusi!. Mpaka leo, mpaka kesho Mchagga anajisikia fahari sana kuishi kuzungu, kuvaa kuzungu, kutembea kizungu, kuongea kuzungu na kutokana na kuupenda uzungu, baadhi ya wanawake wa kichagga Mungu amewapa shape za kuzungu (pasi)!.

Mpaka leo mpaka kesho, zile familia zenye uwezo za kichagga, wanakwenda kujifungulia London!.

Nimebahatika kusoma na one of the Marealles toka ukoo wa Mangi Mkuu, hawa jamaa ni mayai kweli kweli!. Tulipomaliza tuu form four, mwenzetu huyoo London!. Nilipopata fursa ya kuja Uingereza, nilimtembelea, life ilikuwa safi!, jamaa wana nyumba ya ukoo London ila yeye na mkewe walipanga nyumba nzima jirani!. Maisha ni ya kudeka deka tangu Tanzania hadi London!.

Tangu tulipoachana Bongo hadi tunakutana London ilipita yapata miaka 10!. Tulipafanya tathmini ya pamoja kati ya miaka 10 ya bongo, mimi nina nini, na miaka 10 ya London mwenzangu ana nini!, akatamani kurudi bongo na mimi nikamuunga mkono. Miaka miwili baadae alirudi na familia yake ila its very unfortunatelly maisha ya bongo yalimshinda!, family ilisambaratika for sometimes, ila kutokana na kuona familia bora, family ili take controll, familia ikatengamaa na jamaa akaona bora arudi kuishi London, huko amezoea zaidi na maisha anayaweza kuliko maisha ya huku!.

Back to Mangi Mkuu, aliside na wakoloni kuwa Watanganyika bado hatiko tayari kujitawala mpaka labda baada ya miaka 15-20!. Akapendekeza kwa vile Kilimajaro ilikuwa juu kimaendeleo, watoe uhuru kwa majimbo kwa Kilimanjaro kupewa uhuru wake kwanza, maeneo mengine yakishaendelea nayo ndio yapewa uhuru hadi Tanganyika yote iishe!.

Chief Marealle ali undermine juhudi zozote za Tanganyika kujiwala, Nyerere baada ya kulijua hili, ali team na wale Waswahili masikini wenzake na wale wazee wa Gerezani, tukapata uhuru!. From there alifutilia mbali uchifu, Mareale akamind sana!. Akawasideline Wachagga kwenye urais!. Never will this country be ruled na rais Mchagga!. Laana ya Nyerere itatushukia!.

Poleni!
Merry X-mass
Pasco




Kati ya watu ninaowaheshimu katika jukwaa hili basi Mkuu Pasco wewe ni mmoja wao, lakini kwa hizi ngendembwe za kuona kama watu wanaweza kuwa denied haki zao kutokana na eneo walipotoka nimekuona kama mtu uliyepotoka kwa kiwango cha hali ya juu,
utakuwa umeathiriwa na mambo mawili, aidha unajifeel sana inferior mbele ya hilo kabila
au kisaikologia mkeo amekuathiri kiasi kwamba umeamua kuchukia kabila zima,
sasa kwa taarifa yako na wengine wote wenye mitazamo kama wa kwako humu nakuhakikishia kamwe hamtaliweza hilo kabila, labda mchange mind set zenu na mfanye kazi kwa bidii sana....alishindwa nyerere unadhani utaliweza wewe mkuu pasco? mnawanyima nafasi serikalini wao wanahamia mtaani na bado wanafanya vizuri,
change ur mind set bro, these tactics doesn't pay best either!
 
UCHAGGA umeanza je ni gongo tu au mbege? vp mmesha tambikia tayari? tumewamis baa hazina wateja......endeleen kujadili hayo...ila mkumbuke watanzania wa sasa wanawaangalia kwa jicho angavu.

nani amekuzuia na wewe usiende kwenu? afu shost jana ulilala guest ya nani? kachek na sista wa reception....!
 
Vita wanavyopigwa wachagga ni vita vya maloosers..... kila nchi ina kabila ambalo linaonekana liko aggressive kuliko mengine, hata duniani kuna race strong kuliko nyingine... ukienda India wahindi wa Gujarat huonekana stickily businessmen ndio hao akina Patel,Ashok bhai etc, Kenya ni wakikukuyu, Nigeria vile vile kuna lao, na duniani watu ambao wanaonekana aggressive sana ni wayaudi....(JEWS) huwezi kupingana na nature......
wakati wengine ni mere extrovats kwamba shida zao zinaletwa na vitu kutoka nje wengine wanaamini shida zao zinaletwa na wao wenyewe hivyo wanatake responsibilities na hiyo ndio tofauti ya mchaga au mtu mwingine yeyote anaetaka kujiletea maendeleo.
ishu ya kwamba et rais mchaga atawapendelea wachaga wenzake ni hoja mfu naya watu wasiojitambua...... mbona hawaulizi maprof na madr mbona ni wengi sana muhimbili na kwingineko nchini? mbona hawaulizi hospitali nyingi za private ni za watu gani? Mbona hawaulizi kwa nini statistics za hao watu vyuo vya elimu ya juu hazishuki kila mwaka tangu uhuru?
huu ni mchezo wa mauti kwa maskini na walalahoi wanaodhani shida za nchi hii zimeletwa na wachagga, mkimalizana na wachagga and soon u are about to, mtarudi kwa wahindi...... only in third world with mentality of such type....

maendeleo ya mtu ni mtu mwenyewe and we are poor because we are poor...........!
 
Ukiwa na chick vision bila kujaribu kuwaza mbali utasema marealle alikuwa against JK kudai uhuru.

Marealle alikuwa anataka nchi iwe stable kwanza ndio tupewe uhuru. Miundombini kama mashule na hospitali watanzania wajielewe na kuthamini uhuru. Sasa alisems atleast nchi nzima ukiendelea kama KLM by then ndio tupewe uhuru. Wakafanya jumping conclusion na kusema mangi alijuwa anataka uhuru wa KLM pekee.

Wakaanza propaganda na kuwalisha watu huo uongo.bado sijajua dhumun hasa la kutengeneza uzandiki huo. No wonder kuna watu wana hate wachaga vibaya.ndio impact yake hiyo.

Tukimsema marealle kwenye hizo harakati vibaya je nafasi yA JOSEPH KYILIRO itakuwa wapi
 
​Hivi majuzi , mzee Kisumo alipokuwa anahojiwa na gazeti la mwananchi alisema kuwa Nyerere alipokwenda UN kati ya mwaka 1955, 1956 na 1957 alikutana na Cheaf Marealle akimpinga Tanganyika kupewa uhuru, au akitaka uhuru wa KILIMANJARO pekee(Chagga land)!

Kisumo ni mzandiki na alikuwa na chuki binafsi na ukoo wa Marealle, ndio maana amekuwa akitoa kauli hizo za kuuchafua ukoo wa Maraelle na kuharibu historia nzuri na chief huyo.

Na chakusangaza mpaka leo kwenye mashule, vyuoni watu wamekuwa wakifundishwa hivyo, kumbe ni juhudi binafsi za Marealle kumchafua Chief. Hata mimi nilikuwa nimeathirika na hiyo mitizamo hasi ya watu juu ya Paramount Chief Marealle.

UKWELI HUU HAPA; Kama ilivyosemwa na ndugu wa ukoo pia kwa mujibu wa maandiko mbalimbali katika historia, ambayo Kisumo nahakika hakuwa kuyasoma, hata wale Wahadhiri wangu UDSM cjui walikuwa wapi hawakuyapitia wakati wakinifundisha huu uongo wa Kisumo. Wanahistoria hao ambao ni AJ HUGHES katika kitabu ch East Africa, J CLAGGET TAYLOR ktk kitabu cha Political Development of Tanganyika na BERNARD CHIDREZO ktk kitabu cha Tanganyika and International Trusteeship, wote kwa upande mmoja wakisema kuwa Chifu na Nyerere waliafikiana juu ya lini Tanganyika ipewe uhuru wake, wakati Nyerere akisema muda wa kijiandaa kujitawala uwe "kati ya miaka 20-25 mwaka 1955, na mwaka 1956 iwe na kati ya miaka 10-12, Chifu Marealle alisema mwaka 1957 kuwa muda wa kujiandaa kujitawala iwe ni kati ya 10-15.

Katika hotuba ya mwaka June 18, 1957, Mwalimu Nyerere alisema hotuba ya Chifu UN ilikuwa ya maana kuliko ya kwake, " the statement of Chief Marealle II .....has been greater significance than mine"' na kwamba Chifu alikuwa anawakilisha Chifu wa Taifa na mwakilishi wa machifu wenzake.

Sasa huyo Peter Kisumo inayesemwa kuwa alikuwa karibu na Mwalimu kwann anataka kutudanganya, ni watanzania wangapi leo wanamaoni hasi juu wa huyu chifu, Je, serikali inachukuwa hatua gani kurekebisha hii historia ya Marealle ambaya inazidi kuharibiwa na Kisumo.

Chief Marealle alikuwa janga. Tena wachagga mnapaswa kumshukuru Mungu kuwa hakufanikiwa katika jitihada zake za kudai Kilimanjaro yake. Leo hii Kilimanjaro ingekuwa ya matabaka ya kieneo ambapo Marealle na kikabila chake cha Marangu wangekuwa ndio wafaidika huku ninyi wa huko Rombo, Uru, Mbokomu, Kidia nk mngekuwa wadharaulika wa kutupwa, hata kenge angekuwa na heshima zaidi yenu. Wakibosho wangeungana na wamachame kuunda jeshi la kupigana na wanamarealle, msingeona amani kamwe. Hizo historia za kumsifia Marealle zimeandikwa na wazungu za kumsifia kibaraka wao, ulitarajia nini zaidi? Marealle hakuwa na sifa inayokaribia hata 1% ya Mwalimu Nyerere. Naweza kusema kwa uhakika wa 100% kuwa ungewambia wachagga wa sehemu tofauti na Marangu wachague kati ya Bibi Titi Mohamed na Marealle, nakuhakikishia Bibi Titi angepata zaidi ya asilimia 95% ya kura.
 
Alichosema Kisumo ndicho sahihi!. Mjerumani alikuwa akitumia utawala wa direct rule, Muingereza ndio akaleta indirect rule ya devide and rule!. Wagawanye uwatawale kwa kuanzisha utawala wa uchifu!. Machifu walifanywa wajione wao ndio bora zaidi, na mkuu wa machifu wote Tanzania ndio Mangi Mkuu, Thomas Marealle!.

Ni ukweli usiopingika watu wa koo hizi za kichifu walipendelewa ikiwemo kupewa nyumba na Malkia kule London!. Hawa walikuwa ni vibaraka wa wazungu!, walinuona mkoloni ni bora zaidi kuliko mtu mweusi!. Mpaka leo, mpaka kesho Mchagga anajisikia fahari sana kuishi kuzungu, kuvaa kuzungu, kutembea kizungu, kuongea kuzungu na kutokana na kuupenda uzungu, baadhi ya wanawake wa kichagga Mungu amewapa shape za kuzungu (pasi)!.

Mpaka leo mpaka kesho, zile familia zenye uwezo za kichagga, wanakwenda kujifungulia London!.

Nimebahatika kusoma na one of the Marealles toka ukoo wa Mangi Mkuu, hawa jamaa ni mayai kweli kweli!. Tulipomaliza tuu form four, mwenzetu huyoo London!. Nilipopata fursa ya kuja Uingereza, nilimtembelea, life ilikuwa safi!, jamaa wana nyumba ya ukoo London ila yeye na mkewe walipanga nyumba nzima jirani!. Maisha ni ya kudeka deka tangu Tanzania hadi London!.

Tangu tulipoachana Bongo hadi tunakutana London ilipita yapata miaka 10!. Tulipafanya tathmini ya pamoja kati ya miaka 10 ya bongo, mimi nina nini, na miaka 10 ya London mwenzangu ana nini!, akatamani kurudi bongo na mimi nikamuunga mkono. Miaka miwili baadae alirudi na familia yake ila its very unfortunatelly maisha ya bongo yalimshinda!, family ilisambaratika for sometimes, ila kutokana na kuona familia bora, family ili take controll, familia ikatengamaa na jamaa akaona bora arudi kuishi London, huko amezoea zaidi na maisha anayaweza kuliko maisha ya huku!.

Back to Mangi Mkuu, aliside na wakoloni kuwa Watanganyika bado hatiko tayari kujitawala mpaka labda baada ya miaka 15-20!. Akapendekeza kwa vile Kilimajaro ilikuwa juu kimaendeleo, watoe uhuru kwa majimbo kwa Kilimanjaro kupewa uhuru wake kwanza, maeneo mengine yakishaendelea nayo ndio yapewa uhuru hadi Tanganyika yote iishe!.

Chief Marealle ali undermine juhudi zozote za Tanganyika kujiwala, Nyerere baada ya kulijua hili, ali team na wale Waswahili masikini wenzake na wale wazee wa Gerezani, tukapata uhuru!. From there alifutilia mbali uchifu, Mareale akamind sana!. Akawasideline Wachagga kwenye urais!. Never will this country be ruled na rais Mchagga!. Laana ya Nyerere itatushukia!.

Poleni!
Merry X-mass
Pasco
Umenigusa ndugu.
For this and ufisadi wa Benki kuu,TRA na TANAPA sasa naanza kuona uhalisia kwanini wachaga wanachukiwa tangu zamani na hii haitafutika.
 
sikuwahi kusikia harakati za kudai uhuru wa taifa hili kutoka kilimanjaro. labda wewe ututajie walidai wapi. angalia Tanga, tabora, Dar na maeneo mengine yanayofanania na hayo walivyohangaikia uhuru. au wewe hukusoma historia? huenda labda wewe ni scientist, pole.[/QUOTE

Mkuu inawezekana wewe ulisoma histori iliyochakachuliwa
 
huyu sio yule pasco ninayemfahamu. Huyu ni mkabila! Anayetetea habari za makabila! Anasema nchi haitakaa kamwe itawaliwe na mchaga hata kama anazo sifa sahihi! Nimemsamehe bure kwa sababu mwishoni amewsema kuwa ana grievances za kindoa na mkewe mchaga! Pole ndugu yangu. Angalia zisikupeleke mbali hadi kujisahau kiasi kikubwa hivyo! Mimi sio mchaga lakini nataka raisi wa tanzania mzalendo, mwenye maadili mema, mwaminifu, mchukia ufisadi na dhuluma, mtetezi wa maskini, mwenye itikadi safi n.k. Bila kujali kabila wala dini yake wala kanda anayotoka!

hizi hoja za kubaguana kimakabila zinanichefua sana, nyerere alisema wachaga hawataka waongoze nchi hii na kuwasideline wachaga katika nafasi nyeti za serikali na shughuli za kimaendeleo, lakini ni wachagga hao hao waliobaguliwa walikuwa mstari wa mbele katika vita ya kizalendo ya kumwondoa mvamizi id amini dada. Jenerali kiwelu. Imran kombe, ben msuya, muhidin kimario
 
hizi hoja za kubaguana kimakabila zinanichefua sana, nyerere alisema wachaga hawataka waongoze nchi hii na kuwasideline wachaga katika nafasi nyeti za serikali na shughuli za kimaendeleo, lakini ni wachagga hao hao waliobaguliwa walikuwa mstari wa mbele katika vita ya kizalendo ya kumwondoa mvamizi id amini dada. Jenerali kiwelu. Imran kombe, ben msuya, muhidin kimario
...Historia ya nchi hii haijakaa vizuri, kuna mengi sana yamefunikwa. Mohamed Saidi alipokuja na mada yake hapa watu wengi walimuona kama mdini badala ya kujadili hoja zake za msingi! Kwanini tunaaminishwa kuwa uhuru wa nchi hii imeletwa na Nyerere pekee? ilikuwaje familia ya akina Sykes hawakupewa madaraka na historia imewatenga katka nchi hii? Wafadhili wa TANU kama mzee Aikael Mbowe kwanini hawatajwi? Kwanini kawawa alikuwa anadharauliwa sana? Hatakama JKN alikuwa anatofautiana kimtazamo na Marealle ilikuwa busara kuwatenga Wachagga wote? Tunashuhudia maeneo yenye migodi ya dhahabu halmashauri zikipewa dola laki mbili kila mwaka, iweje halmashauri zinazozunguka mt Kilimanjaro zisipewe kiasi cha mapato yatokanayo na utalii? kuua kiwanda cha magunia, ngozi na sido ilikuwa ni chuki dhidi ya wachagga? Kombe aliwakosea nini? Pamoja na ubaguzi mkubwa uliofanyika na unaofanyika mnafikiri ni kwanini JKN alimteua Ndossi kuwa mnikulu Enzi zake?...Ifike mahali mtambue kuwa kuwabagua wachagga ni sawa na kumpiga chura teke!!!... hata hivyo study zaidi inahitajika as to why Wachagga na wazee wetu wa Gerezani walibaguliwa na kutengwa ktk historia ya nchi hii...
 
Chief Marealle alikuwa janga. Tena wachagga mnapaswa kumshukuru Mungu kuwa hakufanikiwa katika jitihada zake za kudai Kilimanjaro yake. Leo hii Kilimanjaro ingekuwa ya matabaka ya kieneo ambapo Marealle na kikabila chake cha Marangu wangekuwa ndio wafaidika huku ninyi wa huko Rombo, Uru, Mbokomu, Kidia nk mngekuwa wadharaulika wa kutupwa, hata kenge angekuwa na heshima zaidi yenu. Wakibosho wangeungana na wamachame kuunda jeshi la kupigana na wanamarealle, msingeona amani kamwe. Hizo historia za kumsifia Marealle zimeandikwa na wazungu za kumsifia kibaraka wao, ulitarajia nini zaidi? Marealle hakuwa na sifa inayokaribia hata 1% ya Mwalimu Nyerere. Naweza kusema kwa uhakika wa 100% kuwa ungewambia wachagga wa sehemu tofauti na Marangu wachague kati ya Bibi Titi Mohamed na Marealle, nakuhakikishia Bibi Titi angepata zaidi ya asilimia 95% ya kura.

...Mkuu amini nakuambia uchaggani kungekuwa hakuna tofauti na nchi za dunia ya kwanza! Hakuna mchagga mwenye akili ya kwenda kuweka billions ulaya badala ya kuziwekeza kwenye miradi itakayozalisha zaidi! wakati makabila mengi wanaogopa kwenda kujenga kwao kwa kuogopa kipapai! Uchagani mtu usipojenga mjengo wa maana unachekwa na unaweza kujikuta unachangiwa kujenga kwa masimango makubwa...wakati wengine mnawashindilia vibunzi mabint na kuwafunda kukata viuno kwenye unyago, wakichagga huwa wanafanyakazi usiku na mchana mabint zao wapate kusoma!...Pasco et al dhambi ya kuwabagua wachagga lazima itawarudi tu!...
 
...Historia ya nchi hii haijakaa vizuri, kuna mengi sana yamefunikwa. Mohamed Saidi alipokuja na mada yake hapa watu wengi walimuona kama mdini badala ya kujadili hoja zake za msingi! Kwanini tunaaminishwa kuwa uhuru wa nchi hii imeletwa na Nyerere pekee? ilikuwaje familia ya akina Sykes hawakupewa madaraka na historia imewatenga katka nchi hii? Wafadhili wa TANU kama mzee Aikael Mbowe kwanini hawatajwi? Kwanini kawawa alikuwa anadharauliwa sana? Hatakama JKN alikuwa anatofautiana kimtazamo na Marealle ilikuwa busara kuwatenga Wachagga wote? Tunashuhudia maeneo yenye migodi ya dhahabu halmashauri zikipewa dola laki mbili kila mwaka, iweje halmashauri zinazozunguka mt Kilimanjaro zisipewe kiasi cha mapato yatokanayo na utalii? kuua kiwanda cha magunia, ngozi na sido ilikuwa ni chuki dhidi ya wachagga? Kombe aliwakosea nini? Pamoja na ubaguzi mkubwa uliofanyika na unaofanyika mnafikiri ni kwanini JKN alimteua Ndossi kuwa mnikulu Enzi zake?...Ifike mahali mtambue kuwa kuwabagua wachagga ni sawa na kumpiga chura teke!!!... hata hivyo study zaidi inahitajika as to why Wachagga na wazee wetu wa Gerezani walibaguliwa na kutengwa ktk historia ya nchi hii...

Upo sawa mkuu, tatizo la Mohamed Saidi hoja yake haijakaa kitaifa kitu kinachomfanya asieleweke na walio wengi, anaegemea zaidi kubaguliwa kwa waislamu tu na kusahau matabaka mengine
 
...Mkuu amini nakuambia uchaggani kungekuwa hakuna tofauti na nchi za dunia ya kwanza! Hakuna mchagga mwenye akili ya kwenda kuweka billions ulaya badala ya kuziwekeza kwenye miradi itakayozalisha zaidi! wakati makabila mengi wanaogopa kwenda kujenga kwao kwa kuogopa kipapai! Uchagani mtu usipojenga mjengo wa maana unachekwa na unaweza kujikuta unachangiwa kujenga kwa masimango makubwa...wakati wengine mnawashindilia vibunzi mabint na kuwafunda kukata viuno kwenye unyago, wakichagga huwa wanafanyakazi usiku na mchana mabint zao wapate kusoma!...Pasco et al dhambi ya kuwabagua wachagga lazima itawarudi tu!...

Aseee!
 
Tuachane na porojo za kikabila tuwe wakweli, hawa wa kaskazin na ukabila wao kutawala itakuwa ni ndoto, hivi ni wapi katika Tanzania ambapo watuwake hawana akili, na Huyo nyerere aliyemzidi akili Marealle naye alikuwa wa kaskazini?, achana na pumba na mjadili mambo ya maana, bogaz.
 
...Mkuu amini nakuambia uchaggani kungekuwa hakuna tofauti na nchi za dunia ya kwanza! Hakuna mchagga mwenye akili ya kwenda kuweka billions ulaya badala ya kuziwekeza kwenye miradi itakayozalisha zaidi! wakati makabila mengi wanaogopa kwenda kujenga kwao kwa kuogopa kipapai! Uchagani mtu usipojenga mjengo wa maana unachekwa na unaweza kujikuta unachangiwa kujenga kwa masimango makubwa...wakati wengine mnawashindilia vibunzi mabint na kuwafunda kukata viuno kwenye unyago, wakichagga huwa wanafanyakazi usiku na mchana mabint zao wapate kusoma!...Pasco et al dhambi ya kuwabagua wachagga lazima itawarudi tu!...

Wachagga wepi unaozungumzia hapa mkuu? Bila umoja haya maendeleo mtayapataje? Nakuhakikishia maendeleo ya wachagga yamewezekana tu kwa kuwa wako miongoni mwa makabila mengine, lakini wao kwa wao hawana uwezo wa kushirikiana jambo lolote, na sababu kubwa ni DHARAU wanayofanyiana miongoni mwao ambayo inafanana na ile ya watutsi na wahutu wa Rwanda na Burundi. Bahati mbaya zaidi kwa wachagga kuna makundi kibao na kila moja linajiona janja kuliko lingine. Yani wangepewa hiyo Kilimanjaro yao, sasa hivi kungekuwa kubaya kuliko Somalia, warlords kila kona!
 
Hivi ni wachagga gani mnaowazungumzia hapa? Kabila 'wachaga' was coined by europeans, hakuna kitu kama hicho. Kusema kwamba wachagga ni watu wakilimanjaro tu, its also wrong. Kilimanjaro wachaga ni wahamiaji tu, kama leo ilivyo Dar es salaam, watu kutoka mikoani wanakimbilia kwenda kutafuta ajira.

Kilimanjaro ni eneo ambalo liliwavutia sana jamii tofuti tofauti kwa sababu mbalimbali za kilimo na makazi. Hata kivita the place is very strategic kumteremshia adui kichapo.

Socio-economic changes zimeibadili sana Kilimanjaro, sasa hivi wakazi wengi wamaeneo haya wamehamia maeneo mengine sehemu mbalimbali Tanzania, Kenya and oversees. Kilimanjaro sasa hivi ni mji wa watu wote, watanzania wote utawakuta kilimanjaro.

Nyie endeleeni kupoteza muda hapa kuhusu sijue wachaga, sijue mangi. Kwanza hao ma MMangi mnao wazungumzia jina hilo walipewa na wasambaa. Hizo koo mnazoziita za kimangi ni koo ambazo ukifuatilia walikuwa watu kutoka umasaini, wengine upareni, wengine usambaani, wengine kule Taita, wengine kule kwa wakamba, wengine wlitoka nchi za mbali. Maeneo kuanzia Ethiopia, Nairobi Kenya kwa wakikuyu (jamii zao zikodiversified kama za hao mnao waita wachaga) kote mpaka Arusha, Kilimanjaro mpaka Tanga, asili ya hawa watu ni mchanganyiko wa nilotics, bantu na cushites. Wanatofautiana tu kwenye nani nani ana ubantu zaidi au unilotic zaidi au ucushites zaidi. Aleast culturally and socially they are very similar.

Tatizo la makabila mengi ya Tanzania hayafahamu historia zao and they dont care so much, sasa ukijumuisha na ule ujamaa wa Nyerere 'african socialism' ndo kabisaaa unawamaliza, ni bora urais wampe mhindi au mwarabu kuliko mchaga wa Iringa, Dar, Kilimanjaro, Arusha au Mwanza. Mchaga haruhusiwi kujisifia kwa lolote lile kwa sababu yeye ni mchaga 'hafai' huko ni kutukana watz. Mchaga akifanya kitu chaote kizuri basi aseme mtanzania tu.

Hivi kunawatu wanaojua kubaguana kama wazungu wanavyojua kubaguana kwa makabila yao kuliko jamii yoyote duniani? Au mlikuwa hamjue kama wazungu nao wanamakabila? MBona mpka kesho kila kabila linajisikia furaha pale mtu wa kwao anapofanya vizuri? Hili nni jambo la kibinadamu tu, na halina maan yoyote ya kumkwaza mtu mwingine. Mbona wazungu wanaishi pamoja tu, na wanashirikiana sana pamoja na unafiki wao? Tofauti zao ndo zinazo wauunganisha. Hizi tabia za kujifanya eti mtu asijisifu kutokana na kabila lake kufanya kitu kizuri au mtu asiwe rais 'kamwe' kutokana na kwamba eti kabila lake wamesoma sana au wanapendeleana ndo lina lifanya hili taifa liwe la watu wahovyo tu katika medani za kimataifa. Taifa la waswahili wasiojitambua. Wanataka kila mtu awe kama wao.

Nyerere was a good leader na sera zake za kumkomboa mwafrica. Alichokosea ni kuamua kuyakandamiza makabila yote makubwa yenye wasomi na watu wenye maarifa ya kuendesha sweriakli kwa kutumia neno 'kamwe' 'hawafai'. I dont understand it. Hivi kauli kama hii inatofauti gani na ile ya yule kaburu aliye watukana watu weusi kule south Africa? Labda mimi sijaelewa. Hivi kuna uhusiano wowote kati ya kauli hii na ukombozi wa mwafrica? Huku siyo kulewa madaraka au tukuiteje? Kwamba wanaostahili ni wakwere wasioelewa nini maana ya thamani ya mlima kilimanjaro au Tembo wa serengeti au dhahabu ya Geita au gas ya mtwara? Swala hapa ni nani ni more competent and competetive kuiongoza serikali na kujenga uchumi imara utakao mnufaisha kila mtanzania. Hizi ngonjera za wachaga 'hawafai' ni kama zile za fear of unknown 'hallowen'. Uraisi siyo kupeana 'kula' kama wengi wetu tunavyodhani. Urais ni nidhamu, maarifa, uwajibikaji na busara kwa watu unaowaongoza. Siyo sarakasi au loto ya bahati na sibu kutuchagulia masharobaro wanaojua kufuga vipanki. Wewe umeshindwa hatakunjengea baba yako kibanda au hata kuboresha maisha yako pale kijijini kwenu amabako wanasomea kwenye madarasa ya udongo paa hakuna, utaweza vipi kutuongoza watu wadunia ya sasa? Hata kama unaakili za kupata A darasani haunauwezo wakutusaidia kwa lolote. Ni sawa na umchukue mtu kama Kagame akaongoze USA.

Kitu kilichowasukuma wanazi wa ujerumani kuwauwa wayahudi sana na kutaka kutawala dunia kama isingekuwa Marekani ni kutoku na historia kubwa yenye mafnikio makubwa duniani kama Wayahudi. Iliwauma sana lakini watafanyeje ilibidi wasalimu amri tu. Binadamu atulingani, kuna ambao wametutangulia zaidi tukubali na kujifunza kwao siyo kubaki tu na kusema 'kamwe' 'hawafai'. Haitasaidia.

Wachaga au whatever you call it ni watanzania na hii Tanzania ni yetu wote uwe mndengereko, mnyakyusa, mhaya, mbondei, uwemzazibari, wote sisi ni watanzania. Hakuna cha huyu 'hafai' huyu 'mwiko'. Ni upumbavu uliopindukia, na tena ni ulevi wa madaraka. Nyie mnaosema wachaga hawafai ndo watu msiofaa kabisa kupewa uongozi wowote katika nchi hii, tena ni watu hatari sana kwa ustawi wa binadamu. You are either cowards or i d i o ts! Kule marekani walisema hivyohivyo, mtu mweusi bwana Obama hafai. Mimi nawatakia kila la heri!! Mwenye macho aaambiwi tazama! Kama mtakuwa hai wajukuu zenu watakuja wasimulia, jinsi waswahili walivyo wafumba macho kwamba mbaki tu wajinga au kama kusoma someni tu ila sisi wote bado mafukara hao siyo wenzetu; kwamba ukipata kula ukikosa jutia. Mnajidanganya nyinyi watoto wenu na nafsi zenu. Ili uvune lazima upande mbegu bora kwenye udongo warutuba na shamba ulitunze mpaka mavuno. Unachopanda kila mtu kwa wakati wake kitapimwa.

Ikitaka upendwe sana na waswahili au watanzania wengi. Usiwe mchaga, usiwe mhaya, uwe mwarabu au mhindi hata kama ni mwarabu au mhindi koko au kibaraka wa mwarabu au mhindi, kama wewe siyo mchaga au mhaya basi uwe fukara au kama siyo fukara uwe mtu unayefanana nao au unaonekana kuukumbatia sana.
 
Mkuu mimi mwenyewe nilipigwa na butwaa baada ya kupewa kanda ya Chief Marealle akihutubia UN... Jamaa alikuwa Jembe kweli kweli, chakushangaza nasikia zile kanda zilipigwa marufuku na zilifichwa zaidi ya Bange! Kwa wale wanaokumbuka tukio la pale ARS ambapo JKN alikwepa kupita kwenye red capet na badala yake alimkimbilia na kumkumbatia Thomas Marealle watakuwa wanajua kilichotokea... Wonder why til to date Malkia anailipa familia ya Chief Marealle?...Mengi yanafunikwa lakini ukweli utasimama kuwa ukweli daima...a notion kuwa rais hatatoka kaskazini hawataki ku-acknowledge mchango wa watu wa kaskazini ulivyokuwa mkubwa ktk ukombozi wa bara hili; USA inatambua kuwa kaskazini mwa Tanzania kuna vichwa vya ukweli si madafu! Massawe wa NASA huwa analindwa akija bongo kuliko hata Obama!... Soon mtajua umuhimu wa mnowabagua kila kukicha ...

Hayo maneno yenye bold umevuruga kabisa ladha ya thread ya mwenzio
 
​Hivi majuzi , mzee Kisumo alipokuwa anahojiwa na gazeti la mwananchi alisema kuwa Nyerere alipokwenda UN kati ya mwaka 1955, 1956 na 1957 alikutana na Cheaf Marealle akimpinga Tanganyika kupewa uhuru, au akitaka uhuru wa KILIMANJARO pekee(Chagga land)!

Kisumo ni mzandiki na alikuwa na chuki binafsi na ukoo wa Marealle, ndio maana amekuwa akitoa kauli hizo za kuuchafua ukoo wa Maraelle na kuharibu historia nzuri na chief huyo.

Na chakusangaza mpaka leo kwenye mashule, vyuoni watu wamekuwa wakifundishwa hivyo, kumbe ni juhudi binafsi za Marealle kumchafua Chief. Hata mimi nilikuwa nimeathirika na hiyo mitizamo hasi ya watu juu ya Paramount Chief Marealle.

UKWELI HUU HAPA; Kama ilivyosemwa na ndugu wa ukoo pia kwa mujibu wa maandiko mbalimbali katika historia, ambayo Kisumo nahakika hakuwa kuyasoma, hata wale Wahadhiri wangu UDSM cjui walikuwa wapi hawakuyapitia wakati wakinifundisha huu uongo wa Kisumo. Wanahistoria hao ambao ni AJ HUGHES katika kitabu ch East Africa, J CLAGGET TAYLOR ktk kitabu cha Political Development of Tanganyika na BERNARD CHIDREZO ktk kitabu cha Tanganyika and International Trusteeship, wote kwa upande mmoja wakisema kuwa Chifu na Nyerere waliafikiana juu ya lini Tanganyika ipewe uhuru wake, wakati Nyerere akisema muda wa kijiandaa kujitawala uwe "kati ya miaka 20-25 mwaka 1955, na mwaka 1956 iwe na kati ya miaka 10-12, Chifu Marealle alisema mwaka 1957 kuwa muda wa kujiandaa kujitawala iwe ni kati ya 10-15.

Katika hotuba ya mwaka June 18, 1957, Mwalimu Nyerere alisema hotuba ya Chifu UN ilikuwa ya maana kuliko ya kwake, " the statement of Chief Marealle II .....has been greater significance than mine"' na kwamba Chifu alikuwa anawakilisha Chifu wa Taifa na mwakilishi wa machifu wenzake.

Sasa huyo Peter Kisumo inayesemwa kuwa alikuwa karibu na Mwalimu kwann anataka kutudanganya, ni watanzania wangapi leo wanamaoni hasi juu wa huyu chifu, Je, serikali inachukuwa hatua gani kurekebisha hii historia ya Marealle ambaya inazidi kuharibiwa na Kisumo.



Ndikalawe

Inawezekana Mzee Peter Kisumo hakuwa mbali na ukweli. Nimetoa kipande kifuatacho kwenye Wikipedia:


http://http://en.wikipedia.org/wiki/Chaga_people

Hebu pima maelezo yake kisha utafsiri kama matukio haya yangeliwajengea uswahiba Nyerere na Marealle

Shukran


In 1952, the Chagga held an election to elect Mangi Mkuu, the "Paramount Chief", to look after their affairs and speak with colonial administrators on behalf of the Chagga.[2] Thomas Marealle of Marangu won the election, defeating divisional chiefs M. H. Abdiel Shangali of Hai and John Ndaskoi Maruma of Rombo. Another divisional chief, Petro Itosi Marealle of Vunjo, withdrew from consideration before the election.
Marealle consolidated power from the other three Chagga divisional chieftains, thus making the Chagga more powerful and in control of their own affairs. His capital was in Marangu. But Marealle's downfall occurred during Tanganyika's struggle for independence, for two main reasons:
First, He lost support among western educated people. When Chagga students at Makerere University criticized him in their college magazine, he publicly humbled them when they came home, in an "old" tribal way.[clarification needed] He placed his faith in Petro Njau, the elderly astute party organizer who had put him in. From 1958 Njau set himself the task of enlisting the support of the old conservatives and the clan elders. This was a spurious return to the great tribal past. But Mangi Mkuu believed and trusted implicitly in him, and in the exaggerated accounts of popularity which Njau reported.
Second, Mangi Mkuu crossed swords with T.A.N.U on his home ground of Kilimanjaro. He still supported the national aims of T.A.N.U for Tanganyika. He continued to support Julius Nyerere personally, as the national leader long after he had begun to deal summarily with local T.A.N.U critics at home, perhaps because these critics did not need to be taken seriously, since they were insignificantly unrepresentative of the people. In 1957-58 the British Administration were belatedly trying to organize a council of Chiefs in Tanganyika as a delaying action against T.A.N.U, Mangi Mkuu wrote the governor asking that Nyerere himself should be invited to address the chiefs. The request was refused. It was not until 1959, when he was fighting for his political life, that Mangi Mkuu cut across Nyerere personally and cut across the national movement as such. In January 1959, by which time he was sharply on the defensive at home, Mangi Mkuu criticized Nyerere's visit to Moshi to hold an open-air TANU meeting in the town. A few months later he circularized the chiefs on the mountain, threatening to sack them if they supported TANU.
In the local field of Chaga politics, however the break came earlier. It did not come from TANU branches as such which, though they had started in 1955 on the mountain, had made little headway among the people. It came from Machame, from the chiefly rival whom Mangi Mkuu had supplanted in 1951. Chief Abdieli Shangali threw the weight of his authority behind his son-in-law, Solomon Eliufoo, and this was the decisive factor. Eliufoo, a commoner from one of the oldest clans in Machame, and a Lutheran-trained teacher, was abroad in the United States and Great Britain from 1953 to 1956. In 1957, he returned as a teacher and joined the TANU branch in Machame. In 1958, he entered politics; he became a nominated member of the Chagga Council, being nominated by Hai divisional council of which his father-in-law, Chief Abdieli Shangali, was chairman. The same year, he was elected member of the legislative council in Dar es Salaam on the TANU ticket.
 
Back
Top Bottom