Saut ina sheria zake na mithan inafanyka sku yyte ile aijalish ni jpl au la? Na ipo direct kwene bylaw na unapewa by law wakati u ajisajirkama. Kama hukubaliani na yaliomo unasepa mapema lkn kma walishasain kukubaliana na izo by law kwamba watazifuata hapo nan wa kulaumiwa? Kama wameonewa waende...
Katika by LAW zaSAUT zote zinaonesha wazi kuwa mitihan na masomo ni sku yyte ile;haeana jmos wal jpli, kwa hiyo hata ukifukuzwa huwez kujitetea kwa sabab by law inakufunga! Kwa hiyo hapo walikuwa na mawili either kuichagua sabato na kuacha pepa! Siwalaumu labda walikuwa hawajui hilo lkn kila...
Habari zennu wakuu hii nimeisoma kwene mtandao mmoja wa kijamii ivi ni kweeli mugabe amesema haya maneno>?
""If Obama wants me to allow gays
marriage in Zimbabwe, I should
marry him first to show the good"
Ndoa hazidumu kwa sababu kabla ya kufunga ndoa watu wanakuwa Obssesed na Wedding Ceremony Imaginations, bila kujua Ndoa inaenda mbali zaidi!
Kuna Ndoa na kuna Harusi...Wengi mnapenda zaidi harusi, na mnapowaza Ndoa picha inayowajia ni Suti kali, Boonge la Shela kutoka Uturuki, Make Up ya ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.