Recent content by Sekondianacletus

  1. S

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu kozi iitwayo Bachelor of Science in Municipal and Industrial Services Engineering

    Usikalili mkuu kwamba course flani ndyoo zina fulsa zaid ataa zngne zina fursa sana tuu huzijui kwa kua hujasoma hyoo course mfano environmental engineering kuna mradi gani wa ujenzi unafanyika bila kuwa na safety officer ambao kwa asilimia kubwa ni environmental engineers?? Na syoo tu hvyoo...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu kozi iitwayo Bachelor of Science in Municipal and Industrial Services Engineering

    Sijajua kwa nini ulicheka but if wewe ni professional jua kila mtu anasoma kitu sahihi na anachokipenda kwa kua kazi ntazofanya mimi wewe huwez kufanya mfano mimi advance nimesoma pcm na nna matokeo mazur nimesoma hyoo course environmental engineering na nna kazi ya private teyari, kwa sasa...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Aliyesababisha kifo cha Salome Mbatia akamatwa

    Siyo dereva wa nyumbani mkuu ni dereva wake kabisa kabla ataa ya uwaziri lkn tuu hakumuingiza serikalini dereva ni baba yangu mzazi mkuu.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

    Ajari ya salome mbatia dereva wake alikua baba yangu mzazi roli lilihama njia likawafata unasemaje uzembe wa dereva? Harafu baba yangu alikua anamwendesha kwa gari binafsi syoo la serikali.
  5. S

    JamiiForums Tanzania TANZIA Ajali Mbeya: Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora wamefariki dunia

    Syoo kweli aliekua anamuendesha huyo mama ni baba yangu mzazi na alikua hatumii magari ya uma ilikua gari binafsi akumsajili kama dereva wake wa kiserikali ile ajari kosa la mtu wa roli aliacha njia.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Viongozi waliokufa vifo tata

    Kivipi rafiki yangu hii naskiaga nlimpoteza baba yangu kwenye hyo ajari ambaye ni dereva aliekua anamwendesha salome mbatia.
  7. S

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri Salome Mbatia afariki dunia, maswali yaibuka!

    Iliondoka na baba yangu hii ajari r.i.p my lovely father
  8. S

    JamiiForums Tanzania Zaidi zaidi

    Harafu hizo course zako lini wametoa ajira mzee zikatangazwa zero kabisaa ww.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Zaidi zaidi

    Daah ww zero kabisa hizo ndyoo zinakua kwa kasi kama hyoo Telecommunications Engineering huoni wanavyolalamika wahitimu wake harafu environmental engineering huijui babu siwez bishana na ww mm kama mm nipoo kwenye company inayofanya installation na kudesign firefighting system nachora michoro...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

    Yaan hapo kuwa graduate engineer kuwa professional siyoo rahis ufanye project za kutosha usimamiwe na watu ambao ni professional then watakuacess inachkua ata miaka 10 kuwa professional baada ya kumalza chuo au usiwe kabsaa maisha yako yote.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Physics - A, chemistry - B, Hesabu - A, aende kusomea chuo gani na taaluma ipi ya Engineering ?

    Huijui mm ni environmental engineer nawork kwenye company ambazo zinajihusisha na installation,design and maintenance of firefighting system,air conditioning na data centre na nakimbza fresh nnauwezo wa kuchora michoro through autocad kuprovide design ya hizo kaz na mengne mengi cause also I...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Physics - A, chemistry - B, Hesabu - A, aende kusomea chuo gani na taaluma ipi ya Engineering ?

    Mm nazungumzia environmental engineering syoo environmental as environmental hv kaka mfano maji syoo muhimu uzibit wa taka je na athari zote za mzngira usiongee if huna kichwa mkuu.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Nina Division Two ya point 10 (PCB)

    Ina kazi nyingi unaweza kuwa engineer wa maji ukadesign visima ukadesign system za mabomba ya maji, tunaweza kufanya water treatment ya maji kuna a lot of approach hapo huwz kuzijua tunadesign mabwawa ya maji tunafanya construction za mijengo as civil japo tuna concept chache ilaa ata structure...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Zaidi zaidi

    Kivipi mzee mnakalili dunia haigandi wazee ifatilie vzur hyoo course ya environmental engineering utajua upana wake halaf fatlia course za kihandis znakua kwa kasi mzee utaijua.
  15. S

    JamiiForums Tanzania Physics - A, chemistry - B, Hesabu - A, aende kusomea chuo gani na taaluma ipi ya Engineering ?

    Ndyoo namshangaa ujue watu wamekalili tuu hawaelew upana wa hii course.
Back
Top Bottom