Recent content by Sekondianacletus

  1. S

    Aliyesababisha kifo cha Salome Mbatia akamatwa

    Siyo dereva wa nyumbani mkuu ni dereva wake kabisa kabla ataa ya uwaziri lkn tuu hakumuingiza serikalini dereva ni baba yangu mzazi mkuu.
  2. S

    Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

    Ajari ya salome mbatia dereva wake alikua baba yangu mzazi roli lilihama njia likawafata unasemaje uzembe wa dereva? Harafu baba yangu alikua anamwendesha kwa gari binafsi syoo la serikali.
  3. S

    TANZIA Ajali Mbeya: Watu wanne akiwemo Mkurugenzi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora wamefariki dunia

    Syoo kweli aliekua anamuendesha huyo mama ni baba yangu mzazi na alikua hatumii magari ya uma ilikua gari binafsi akumsajili kama dereva wake wa kiserikali ile ajari kosa la mtu wa roli aliacha njia.
  4. S

    Baadhi ya Viongozi waliokufa vifo tata

    Kivipi rafiki yangu hii naskiaga nlimpoteza baba yangu kwenye hyo ajari ambaye ni dereva aliekua anamwendesha salome mbatia.
  5. S

    TANZIA Waziri Salome Mbatia afariki dunia, maswali yaibuka!

    Iliondoka na baba yangu hii ajari r.i.p my lovely father
  6. S

    Zaidi zaidi

    Harafu hizo course zako lini wametoa ajira mzee zikatangazwa zero kabisaa ww.
  7. S

    Zaidi zaidi

    Daah ww zero kabisa hizo ndyoo zinakua kwa kasi kama hyoo Telecommunications Engineering huoni wanavyolalamika wahitimu wake harafu environmental engineering huijui babu siwez bishana na ww mm kama mm nipoo kwenye company inayofanya installation na kudesign firefighting system nachora michoro...
  8. S

    Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

    Yaan hapo kuwa graduate engineer kuwa professional siyoo rahis ufanye project za kutosha usimamiwe na watu ambao ni professional then watakuacess inachkua ata miaka 10 kuwa professional baada ya kumalza chuo au usiwe kabsaa maisha yako yote.
  9. S

    Physics - A, chemistry - B, Hesabu - A, aende kusomea chuo gani na taaluma ipi ya Engineering ?

    Huijui mm ni environmental engineer nawork kwenye company ambazo zinajihusisha na installation,design and maintenance of firefighting system,air conditioning na data centre na nakimbza fresh nnauwezo wa kuchora michoro through autocad kuprovide design ya hizo kaz na mengne mengi cause also I...
  10. S

    Physics - A, chemistry - B, Hesabu - A, aende kusomea chuo gani na taaluma ipi ya Engineering ?

    Mm nazungumzia environmental engineering syoo environmental as environmental hv kaka mfano maji syoo muhimu uzibit wa taka je na athari zote za mzngira usiongee if huna kichwa mkuu.
  11. S

    Nina Division Two ya point 10 (PCB)

    Ina kazi nyingi unaweza kuwa engineer wa maji ukadesign visima ukadesign system za mabomba ya maji, tunaweza kufanya water treatment ya maji kuna a lot of approach hapo huwz kuzijua tunadesign mabwawa ya maji tunafanya construction za mijengo as civil japo tuna concept chache ilaa ata structure...
  12. S

    Zaidi zaidi

    Kivipi mzee mnakalili dunia haigandi wazee ifatilie vzur hyoo course ya environmental engineering utajua upana wake halaf fatlia course za kihandis znakua kwa kasi mzee utaijua.
  13. S

    Physics - A, chemistry - B, Hesabu - A, aende kusomea chuo gani na taaluma ipi ya Engineering ?

    Ndyoo namshangaa ujue watu wamekalili tuu hawaelew upana wa hii course.
  14. S

    Physics - A, chemistry - B, Hesabu - A, aende kusomea chuo gani na taaluma ipi ya Engineering ?

    Hizo zimepitwa na wakati environmental engineering inakuja kwa kasi na inapanda wat tunafanya mpaka mambo ya mitambo ya fire na ac nyie kalilini tuu.
  15. S

    Physics - A, chemistry - B, Hesabu - A, aende kusomea chuo gani na taaluma ipi ya Engineering ?

    Apige environmental engineering hatojuta iko hot sana mfano mm now napga mambo ya installation of firefighting system na installation of ac, nyie mnalopoka bila kujua undan wa course mzee environmental engineering ni balaa unaweza fanya kaz sehem nyingi halmashaur, hospital na mrad wowote hauwez...
Back
Top Bottom