Recent content by Seif al Islam

  1. S

    JamiiForums Tanzania CAN AN APPLICANT BRING UP AN APPLICATION BY WAY OF A SUMMARY PROCEDURE AT THE DISTRICT LAND AND HOUSING TRIBUNAL?

    Good afternoon thinkers. Yesterday was in chamber s in one of the District Land and Housing Tribunals and i happened to find an application brought by way of Summary procedure under Order XXXV of the Civil Procedure Code Cap 33 R.E 2002. Is the same sustainable?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini nguvu kubwa inayotumika kumtafuta "Mo" isitumike kuwatafuta Ben, Azory na waliotaka kumuua Lissu?

    Kuna jamaa alisema walikuwa wameenda kutafuta maisha
  3. S

    JamiiForums Tanzania Watanzania Wakichoka "mambo ya vyama" watapewa nini?

    Kuna kauli imetolewa na mwanasiasa mmoja kuwa watanzania wamechoka haya "mambo ya vyama" na wanataka "maendeleo". Japo hajatuambia watanzania waliyasemea hayo wapi au kupitia utafiti upi lakini sina shaka sana juu ya nini hasa watanzania watapewa baada ya kuwa wamechoka "mambo ya vyama". Ni...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Rambirambi imetushinda, Viwanda tutaweza?

    Tumeona wenyewe jinsi ambavyo viongozi wetu wanavyoshindwa kuratibu zoezi dogo tu la kukusanya na kuwasilisha rambirambi kwa wahanga wa ajali ya Arusha na Tetemeko la Ardhi huko Bukoba. Najiuliza tu kama rambirambi tu imetutoa jasho viwanda tunaweza?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Nani amempa Mh Lazaro Nyalandu ruhusa ya kutoa taarifa za majeruhi wa ajali ya Arusha?

    Kwa muda wa siku kadhaa sasa Mheshimiwa Lazaro Nyalandu amekuwa akitoa taarifa mbalimbali kuhusu vijana wetu waliojeruhiwa katika ajali huko Arusha. Taarifa hizo zilianza kutolewa kuhusu safari yao kwenda Marekani kutibiwa na sasa taarifa zinazoletwa na Mh Nyalandu zinazungumzia aina ya matibabu...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini tukatae kuwa mauaji ya polisi huko Mkuranga sio ugaidi?

    Nimesikitika sana kusikia jinsi ambavyo watendaji wa vyombo vya Ulinzi na usalama wakikataa kuhusisha tukio la mauaji ya polisi huko Mkuranga na ugaidi. Nieleweke kuwa sishabikii mauaji au ugaidi. Mshangao wangu unatokana na sababu zifuatazo : 1. Uchunguzi wa tukio zima ndio kwanza umeanza na...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunarudi kwenye mfumo wa chama kimoja?

    Waswahili husema dalili ya mvua ni mawingu. Japo sio kila mara mawingu huleta mvua lakini kila yaonekanapo walau kunakuwepoa matumaini au labda hisia kuwa mvua itanyesha. Hali ya kisiasa ya nchi yetu chini ya awamu hii ina dalili nyingi ambazo zikitazamwa kwa pamoja na haiba na kaliba za...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Chama cha Madaktari(MAT) watofautiana na Serikali juu ya kupeleka madaktari nchini Kenya

    Hoja hizo. Tukiona inafaa tuwasikilize
  9. S

    JamiiForums Tanzania Waziri Nape: Kitendo kilichofanywa na RC Makonda kimenajisi Tasnia ya Habari. Kamati yaundwa...

    Nimesikia Waziri Nape Nnauye akitaja wajumbe wa Tume aliyounda kuchunguza saga la Uvamizi wa Clouds Media Group. Ni hatua muhimu sana. Tume hiyo imeundwa na waandishi watupu ilihali swala lenyewe ni mtambuka na linahitaji watawala mbalimbali. Kutokana na aina ya tukio, nilitarajia kuona...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Rais wa TLS: Rais Magufuli atengue uteuzi wa Makonda kabla hajazidi kuchafua taswira ya Serikali

    Tuliona wote jinsi swala la mwalimu Frank lilivyoshughulikiwa na mawaziri watatu kwa mpigo na jinsi ambavyo lilishughulikiwa kwa haraka sana. Mawaziri hao wote wapo na wanajua kilichotokea huko Clouds Media Ukimya wao unanishangaza sana. Zaid namuona Mh Nape akijihangaisha peke yake huku...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Nape, Jeshi la polisi na JWTZ mna la kuongea kuhusu tukio la uvamizi Clouds Media Group

    Media Council of Tanzania wapo wapi? Ndio maana TLS hatukutaka ujinga kabisa.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Elibariki Kingu: Kwa hili la RC wa Dar, naomba niwe wa kwanza kufukuzwa CCM

    Hao ndio wenye akili. Kufumbia macho #mataputapu kisa chama ni #bashiteism
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kisheria zaidi: Serikali haijaipa Kenya madaktari

    Mbona unatokwa povu kuandika ujinga humu? Jibu hoja kwa hoja. Acha kelele
  14. S

    JamiiForums Tanzania Muungano wa Madaktari wa Kenya, wawakataa Madaktari wa Tanzania

    Cheap politics
  15. S

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda avamia Clouds Media na kuwatisha SHILAWADU

    Duuuuuuu sasa itakuwa vipi maana hata mzee huwa anaangalia hiyo kitu
Back
Top Bottom