Recent content by sehiza

  1. S

    Mwakyembe Na Usalama wa Taifa

    Mawazo yote yanayotolewa ninayaheshimu sana, Kila mtu anao Uhuru wa kutoa maoni yake! LAKINI, kwa maoni yangu pia, naomba sana tunapotoa maoni na ushauri, ni vyema tukafanya kautafiti kadogo ili kufahamu kile kitu tunacho kizungumzia.Kwa kufanya hivyo kutasaidia sana kuwaelimisha wananchi. Kama...
  2. S

    Ukweli kuhusu unga airport.

    International Drug Dealers, hata wakiwa "well organized " wanaweza wasifanikiwe kutekeleza Malengo yao endapo tu, watumishi wa Idara, taasisi mbalimbali za Umma na Binafsi, wanaofanya kazi Airport na kwingineko, watakuwa na uhusiano na ushirikiano mzuri, ikiwemo na nia ya dhati ya kukomesha...
  3. S

    John Magufuli: Ninautamani urais!

    Katiba yenyewe bado haijakamilishwa kuboreshwa hatimaye ipitishwe, cha kushangaza ni baadhi ya Watu wanaota ndoto za Urais!!! IPo kazi kweli!!
  4. S

    List ya mawaziri wetu wanaoweza kuongea fluent english

    Shukuru Kawabwa - kusema kweli nimemsikia akiongea kiingereza vizuri !
  5. S

    Idara ya Usalama wa Taifa ipewe Mamlaka zaidi ili kuinusuru Nchi

    Hii ni topic nzuri, bila shaka yataendelea kutolewa maoni na mapendekezo mazuri, ili wenye macho na masikio waone na kusikia! Swali ambalo Kila siku najiuliza bila kupata majibu... Hivi hiki chombo kikiboreshwa zaidi na kupewa nguvu( ki sheria na fedha), kisha kikatekeleza majukumu yake ipasavyo...
  6. S

    Intelijensia ya Tanzania imekwenda likizo au imekufa?!

    Tuweke nguvu za kutosha katika kuiboresha zaidi rasimu ya katiba, hatimaye ipitishwe ili iweze kusaidia katika kuondoa matatizo na changamoto zinazotukabili. Kwa maoni yangu, ni vyema mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama yakaboreshwa zaidi...
  7. S

    Intelijensia ya Tanzania imekwenda likizo au imekufa?!

    Tuweke nguvu za kutosha katika kuiboresha zaidi rasimu ya katiba, hatimaye ipitishwe ili iweze kusaidia katika kuondoa matatizo na changamoto zinazotukabili. Kwa maoni yangu, ni vyema mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama yakaboreshwa zaidi...
  8. S

    Waziri wa uchukuzi

    Kwa Maoni yangu, nadhani tunapaswa kumhurumia mh Mwakyembe kwa mizigo mikubwa aliyonano ktk kutekeleza Malengo ya Wizara yake na Serikali kwa ujumla, hivyo suala la Bandari bubu, kupakiwa na kushushwa kwa mizigo na hatimaye kukosekana kwa mapato, bila Shaka lingepaswa kupatiwa ufumbuzi wa kudumu...
Back
Top Bottom