Mwakyembe Na Usalama wa Taifa

Mwakyembe Na Usalama wa Taifa

ukichunguza sana utaona kuna watu wameibuka na kuanza biashara za mafuta from no where na zinakuwa kama uyoga baada ya muda zinatoweka kama moto wa kifuu
 
Wewe huna taarifa sahihi! Upanga ule haukuibiwa ofisini kwake . Alikabidhiwa Zanzibar na akauweka kwenye gari la kamishna wa Zanzibar ndio walioupoteza na sio ofisini kwake

Taarifa hii mwambie na mwenzako hapo pembeni yako! Ajue

Sawa hata kama alikabidhiwa Zenj; je huo upanga alitakiwa auwache huko Zenj au aje nao huku ofisini kwake bara? Imekuwaje imechukua muda wote huo kugundua kuwa ule upanga umepotea?
 
Sawa hata kama alikabidhiwa Zenj; je huo upanga alitakiwa auwache huko Zenj au aje nao huku ofisini kwake bara? Imekuwaje imechukua muda wote huo kugundua kuwa ule upanga umepotea?

Hilo nalo neno. Kitu kimepotea miezi kadhaa nyuma na hakuna aliyefaham. Mpaka wakati wa kukirudisha ndo unajua hakipo... Aibuuu.
 
Hata km yeye ni TISS lakini walipaswa Ofisi ya Tiss ndo wagundue hizo habar, ila wao hawana kazi siku hiz Nchi imeoza kwa unga,wahamiaji, na matukio ya vioja.

Zaman walipokuwa wanasema Nyerere anamasikio hata ukitaja jina lake kibandani kwako anajua maana yake Tiss ilikuwa inafanyakazi vizuri
Kwani wakigundua unataka waitishe press conference na kusema tumekamata wezi? nijuavyo mimi wanasiasa wanaweza kuwa vipaza sauti vya TISS.
 
Wewe huna taarifa sahihi! Upanga ule haukuibiwa ofisini kwake . Alikabidhiwa Zanzibar na akauweka kwenye gari la kamishna wa Zanzibar ndio walioupoteza na sio ofisini kwake

Taarifa hii mwambie na mwenzako hapo pembeni yako! Ajue
Na kwanini hakuufuatilia kujua uko wapi mpaka muda wa makabidhiano ulipofika ndo anakurupuka kuutafuta wakati alitakiwa uwepo ofisini kwake sambamba na bendera?? hapa kuna kutokuwa makini kumefanyika kwa ofisi hiyo ya IGP wetu
 
Kwani wakigundua unataka waitishe press conference na kusema tumekamata wezi? nijuavyo mimi wanasiasa wanaweza kuwa v
ipaza sauti vya TISS.[/QUOTE

Nataka watibu nyufa kabla halijawa shimo mkuu,hebu fikiria ni mda gani wale walianza kuiba mafuta pale
 
unaushahidi kuwa tiss hawagundui mbona siku ile mwakyembe aliomba kufika leo apatiwe majina ya wahusika wa wezi wa mafuta kwa maoni yako alikuwa anawaagiza akina nani kama siyo vyombo husika.

Hilo ni moja tuuu,, lakini mangapi wameyagundua
1:wahamiaji kupewa aridhi
2:wahamiaji kupewa kaz
3:Unga ndio njia yao siku hiz
mengine watajazia, unataka ushahid wa sauti au king'amuz mkuu
 
Wakuu,

TISS huwa hakamati mtuhumiwa yoyote yule, wao hutoa taarifa kwa chombo husika ili wachukue hatua na kutahadharisha.

TISS kitengo cha usalama wa viongozi, itokeapo aina ya uhaini au uasi...hapo jamaa huua pasipo mashauriano.

Inawezekana Mwakyembe amepora taarifa zinazoliendea jeshi la polisi au hupewa nakala ya taarifa za uhalifu zinazokwenda jeshi la polisi. Kwa kupitia taarifa hizo, na kwa jinsi muundo wa jeshi letu ulivyo, ndipo huamua kuchukua hatua mwenyewe.

Nchi hii, takriban 80% ya wanasiasa wote ni agents wa TISS hususan wale viongozi wakuu wa vyama vya siasa. Hata huu muungano wa CUF, NCCR na CDM utaparanganyika siku chache kabla ya uchaguzi na hawatoweza kujipanga kwa kuwa na nguvu ya kuhimili uchaguzi mkuu.

Pale TISS kuna vitengi vingi sana ambapo kila kitengo hutoa taarifa zao sahihi kabisa, tatizo ni kwamba TISS ni aghalabu kabisa kujitokeza kwenye vyombo vya habari na kuelezea jambo lolote isipokuwa kwa ulazima sana sana.

Hivyo, Mwakyembe kwa afanyayo ni kwa muongozo wa karibu kabisa aupatao toka TISS.

Cabinet ministers huwa takriban 50% ni TISS agents pasipo kujuana, TISS hutakiwa kujua kila kitu kinachoihusu nchi ndani ya mipaka na nje ya mipaka.
 
Mawazo yote yanayotolewa ninayaheshimu sana, Kila mtu anao Uhuru wa kutoa maoni yake! LAKINI, kwa maoni yangu pia, naomba sana tunapotoa maoni na ushauri, ni vyema tukafanya kautafiti kadogo ili kufahamu kile kitu tunacho kizungumzia.Kwa kufanya hivyo kutasaidia sana kuwaelimisha wananchi. Kama hufahamu kwa undani kitu unachotaka kuwaeleza umma, watafute wahusika na kuwaomba msaada wa kukuelimisha, ndipo ufanye uchambuzi na kisha kuandika topic yako!
 
Back
Top Bottom