Mtu anajiita Mgararizi?maana yake ni mtu alieshindikana kwa ujeuri na tabia zote mbovu.kazi ipo kwa vijana.nyie marijali,mke wa mtu sumu jamani achaneni nao.mbona masingo ni wengi tu na mmeongezewa mpaka machoko.tafuteni wa kwenu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huyo huyo.Ilikua Zainabs sio Tawaqal.Unaambiwa basi lilikatika paa kwa juu,Paa likawa linarudi nyuma linakata vichwa vya watu.Giriki???Yule alipaswa kunyongwa kabisa
Binafsi simpendi Jiwe na ule mbichwa wake kama ndoo ila kwa hili la masheikh nadhani mnamuonea.Wale walikamatwa na ndugu zao wenyewe uongozi wa Sheyin na Kikuwete.Hebu mpumzisheni kidogo mzee wa Chattle
Hakuna kampuni inayolipa moja kwa moja kwa mtu.Ila nilipoenda NMB kutoa taarifa kwamba mteja wao amefariki nilipewa pole milion moja.Ndio yote tulitumia kujisogeza wakati Tunasubiri mirathi itoka nayo tulikamilisha kila kitu ila ikachukua mwaka mzima kutoka
Mzee baba huko hazina ndipo kwenye shida.mara nyingi Bank hutoa check mapema na kuzipeleka hazina.Sasa kasheshe ni cheki kutoka hazina kurudi mahakamani.Haloo ni mwendo wa nenda rudi kesho.mara hazijasainiwa.mara hazionekani.zikionekana utaambiwa njoo wiki ijayo tena kwa maneno matamu wale watu...
Kwa mujibu wa sheria,kama marehemu aliacha pesa hamuwezi kugewa moja kwa moja.ni lazima ufungue shauri la mirathi mahakama ya mwanzo.baada ya hapo atapewa barua msimamizi wa mirathi aipeleke benk au kampuni ya simu.Akishapeleka pesa zote zitapelekwa bank kuu.Kutoka kule ndio zitarudishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.