.mwanamke ni mwanamke, wanachotofautiana ni ile pointi ya kuanza kwa uchoyo na unafiki, kuna wale uchoyo umekaa peupe na kuna wale uchoyo umejificha ndani kidogo..
Sawa watoto ndo mmeboresha hali ya nyumbani, lakini huo umiliki wa mali za hapo nyumbani upo kwa Mama au mligawana watoto baada ya Mzee kufariki?, manake bi mkubwa asije pelekewa moto mpaka akajikuta anahamisha umiliki wa mali kwenda kwa Mzee mvamizi, binafsi hilo jambo la mvamizi kuingia boma...
.mke sio ndugu yako na pia shemejio sio ndugu yako, kwa sasa wajibu wako ni kuhakikisha watoto waliopo wanaendelea kuwa na afya tele wakikua na kuongezeka maarifa,miaka mitano si mingi mpaka kaka yako atoke, jitahidi kumtendea vyema yeye ambaye ndo ndugu yako haswaaaaa!!!!!..pili kama mkeo...
Ngoja ufe ndo utajua unatokaje, ninyi ndo yale makundi ya watu mnaamini kuteseka na kutaabika ni mipango ya Mungu, hata hivyo pamoja na elimu na maarifa mengi uliyonayo kuna kitu kimepungua kwako ni kwamba "WEWE HUJIPENDI" na hujawahi jikubali.
.siku akikujibu unipe taarifa Mkuu manake mpaka naandika hapa huyu ndugu yetu hakuwa ametoa majibu ya maswali yako ambayo ni yetu pia, kuna swali moja hapo umemuuliza akijibu tu ntakuja kutapika maushauri yangu..
Hamna kitu hapo Mkuu, huko ni kujazana upepo tu, ndoa imara na yenye upendo hujengwa na uwepo wa pesa tu. Hayo mengine ni ujinga mnaojazana huko kwenye mafundisho yenu, tafuteni pesa kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.