Ukifanya haya, you’ll hurt her so bad

Ukifanya haya, you’ll hurt her so bad

Ukigundua mwanamke aliwai kukupenda iwe sana or kawaida

Na at a point mkaachana kwa sababu mbalimbali either
1. Aliona anakupenda ndio ila huna future
2. Alikuacha tuu kwa ego na tama zake
3. She made u suffer

Get mad but dont do her bad fanya haya nakuahidi utakua umemuumiza vibaya mno

1. Be humble usimtukane usimlipizie..make her feel guilty kua yeye ndo chanzo cha kuachnaa kwenu

2. Endelea kuwasiliana nae ila kwa yeye akianzisha mawasiliano usinune wala kumjibu vibaya but hakikisha unakataa chochote anachokuvuta kwake mrudiane. Hata akija na chupi kwako kataa kusex nae, hatoamini

3.Kua positive na chochote atakachohitaj ila usimpe.anaweza omba msada mpe promise tuu ila usitimize

4. Akikumiss mwambie nawee umemmiss ila huwezi kua nae sababu una furaha kwingine

5. Na mengne mengi siwezi outline hapa

Nmefanya haya kwa wanawake wa3 wa maisha yangu ambao tho tulipendana ila tuliachana due to circumstances

Huwez amini wengine wameolewa ila hadi leo they blame me for being so fucking tormenting. Niko kwenye position hadi ya ku decide nifanye nini juu yao na wanakubali.

They adore me like crazy I can even **** them but bado lengo liko pale pale hurting them so bad huyo mke wa mtu sometime anaasafiri kikazi anakuja lala kwangu week siku 3 nilivyo mshenzi namlaza chumba cha wageni.

Do this my brother mwanamke hapigwi wala hatukanwo wala hateswi physicaly
Not always works like what you say. Itategemea na aliyenae yuko vipi. Kuna wengine wataondoka na kuusahau wewe mazima na wasigeuke nyuma.
 
Hapo ukifanikiwa mjomba hawez kukusahau kamwe.mi huyo mke wa mtu kwa jins anavyoniamin huwez amin anajenga nyumba yake ya kupangisha hata mumuwe hajui..mim ndo namsimamia yeye yuko mkoa ila anajenga kisir sir dar.na hela za mafund ananitumia mm

Sent using Jamii Forums mobile app
Ufanye yoote hayo sababu ya kumuumiza mtu na kukumbukwa kwa ajili gani? wakati hutaki hata papuchi! Mwisho wa siku ndio unapewa kazi ya kusimamia ujenzi while paid nothing
 
Sio wanaume wengi ni "WANAUME WOTE" hatuliwezi, jambo hilo wanawake tu ndo huweza.
Hayo mengine nayaweza ili hapa

"Hata akija na chupi kwako kataa kusex nae"

Hapo tu ndipo ulipokosea hilo jambo kusema kweli siliwezi na itakuwa haina maana ya mimi kumuumiza bila kumfariji kwa kumpatia mkate wa bwana...[emoji28]
Naimani kwa hilo wanaume wengi hatuliwezi[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani hadi umekuja kuwaanzishia uzi alafu wasema wao ndo wanaumia!? You are the one suffering mzee kaka.. Em jitaZame kwenye kioo..
 
Anaonekana ni kama wale wakaka wanaoongea huku wanalambalamba lips.. asee mkaka akijijua ana vimashauzi vya kishenzi anipitie mbali na asahau kama ntamshobokea!!!
😅😄😃😀😁😂
Mwaka Huu Usiishe Bila Kutenda Miujiza!!
 
Miujiza gani mkuu?😁
Visa Na Mikasa Ya Mapenzi Halafu Baadaye Wote Tunazeeka
Tunabaki Kuangalia Watoto/Wajukuu Zetu Nao

Uvumilivu Kwenye Mahusiano Ni Muhimu Sana
Ingawa Changamoto Nadhani Ni Ndogo Ndogo
😎😋
 
Visa Na Mikasa Ya Mapenzi Halafu Baadaye Wote Tunazeeka
Tunabaki Kuangalia Watoto/Wajukuu Zetu Nao

Uvumilivu Kwenye Mahusiano Ni Muhimu Sana
Ingawa Changamoto Nadhani Ni Ndogo Ndogo
😎😋
Halafu mimi sjasoma kiswahili na hesabu za mafumbo zilinishinda na shule nikakimbia kwa hiyo sidhani kama nakuelewa😂😂😂
 
Bro.. Hamnaga tuzo za hii mambo, wengine ilitakiwa tuwe na Gold medal kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji475][emoji475]
Ndo hvo..inabid ufosi tuu maana wanawake wenyew usipowatomb.a inakua tabu mtaani ila kiukwel nahis nahitaj a break from fuc.kin..nmefu.ck sanaa ..sanaa..yan nakumbukaga nikiwa shule uboyzini nilikua nawaza hiv ningekuja pataga papuch had nizikimbie kwel.manaa enz hzo tulikua tunapiga masta snaa papuch zilikua ni dhahab.ila sasa had mtu unazikimbia.wengne wanajitongozesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom