Unapo mkaribisha mtu kuongea haiwezi kumpangia aongee hadi wapi na nini hasiongee, lkn hapo hapo kwaya za madhebu yasiyo ya kisabato zimeruhusiwa kuimba na kucheza madhabahuni ambao sio utaratibu wa wasabato kwani iwe nongwa kwa muumini wa kanisa hilo ambae ni mwanasiasa nae kutoka ujumbe wake?
Kama watanzania wa vyama vyote tungekuwa na Nia njema ya kuleta maendeleo ya nchi yetu Hawa wabunge ambao wamekaa bungeni zaidi ya miaka kumi tungewakataa katika uchaguzi huu. Haiwezekani mtu anakuwa Mbunge Hadi miaka ishirini na bado tu anautaka ubunge Tena utadhani Jimbo Hilo ni yeye tu mwenye...
Hongera zake anastahili kupata hiyo tuzo inatia moyo wa kuendelea kupambana hiyo ni historia inaandikwa, lakini pia niulize hizi tuzo ukipewa zinakuwepo na hela pia unapewa?
Huyo kijana asiwaumize watu vichwa hata kama tumbo linasumbua sio kwa mtindo huu, huyu dogo alikuwa miongoni mwa vijana waliokuwa wajinga drs na hata hill drs la saba alifeli na majina yake ni maagi mlaga msiba hayo kina Cyprian sijui hata kayapatia wapi, maisha yenyewe nyumbani kwao tu ni...
Walizoea kupata vya bure bure sasa mkuu ameinyoosha nchi kazi ya uasikali haifai sio wale tena waliozoea kurudi na chochote nyumbani kila siku kama anaona anadharaulika aiache kazi, kazi zipo nyingi hata kufuga hata umbwa wote wanauzwa hapa mjini
Wewe ufai hata kuwa mtoto wa hapo wazazi wako walio waafrika kwa maana unataka kumkosoa hata Mungu aliyekuumba mwafrika kwa sababu ya mapenzi yako ya siasa tu za kitoto unatukana kuumbwa mwafrika Mungu na akushughulikie
Na unadhani kuwa mweusi ndo kuwa mwafrika wako wazungu ni waafrika nao...
Kosa ni hao wananchi waliomchagua huyu kijana asiye na hata chembe ya ufaham hajuwagi chochote nina wasiwasi na malezi aliyopata, walisoma nae watuletee tabia yake akiwa shule chuo marafiki zake walikuwa watu wa namna gani? He alikuwa analala chumba kimoja na nani tabia yake huyo ikoje maana...
Mwigulu afadhali kwa sababu anajidai ni mzalendo namba moja kuliko mtanzania yoyote ila hao wengine ni wanafiki na watu wanaotumia matumbo yao kufikiri siwaungi mkono kwa lolote hawafai hata kuwa viongozi wa Nyumba kumi (ten cell leader)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.