Askari wetu hasa polisi wameathirika kisaikolojia

Askari wetu hasa polisi wameathirika kisaikolojia

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,811
Reaction score
2,359
Huu uvumi na kusemwa kila kona polisi vijana wanajisikia vibaya sana na wako frastrated huku wakijiona jamii haiwakubali.

Ukicheki tukio la askari yule aliyepiga risasi hewani na kusikiliza maneno yako yaani yuko frastrated ile mbaya

Maneno yake ni kwa nini hamheshimu serikali mimi nimeapa kuilinda serikali huku anaonekana ana machungu moyoni anaongeza siwezi kudhataulika anahisi wanadharaulika

Hii ni tatizo kubwa sana
 
Huu uvumi na kusemwa kila kona polisi vijana wanajisikia vibaya sana na wako frastrated huku wakijiona jamii haiwakubali.

Ukicheki tukio la askari yule aliyepiga risasi hewani na kusikiliza maneno yako yaani yuko frastrated ile mbaya

Maneno yake ni kwa nini hamheshimu serikali mimi nimeapa kuilinda serikali huku anaonekana ana machungu moyoni anaongeza siwezi kudhataulika anahisi wanadharaulika

Hii ni tatizo kubwa sana
Sipati picha mkuu kama akiwa miongoni mwa walioghushi vyeti
 
1. Wajikaze tuu! Ndio tulipofikia kwa siasa.
2. Si unaona mtumishi akipata sokomoko wananchi wanashangilia kana kwamba ni sherehe.
3. Waone hata walieapa kumtii anavyodhatauliwa.
4. Tz ya Dada mtumishi anadharauliwa kuliko mfanyabiashara wa kawaida.
 
Walizoea kupata vya bure bure sasa mkuu ameinyoosha nchi kazi ya uasikali haifai sio wale tena waliozoea kurudi na chochote nyumbani kila siku kama anaona anadharaulika aiache kazi, kazi zipo nyingi hata kufuga hata umbwa wote wanauzwa hapa mjini
 
Aache kazi kwani suala la kudharaulika si wao wamelitaka wenyewe unapotarajia kuheshimiwa na mtu yeyote pasi na kumheshimu yule unaehisi anastahili kukupa heshima kutokana na kile unachofikiri kwamba ni kipo kisheria ...kaaa ukitambua hutaheshimika kama unamdharau ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom