Recent content by seedorf samuel

  1. S

    DOKEZO Udanganyifu wa mitihani Paradigms

    Hao wanaajiriwa kuliko ma MD
  2. S

    DOKEZO Udanganyifu wa mitihani Paradigms

    Yani mitihani inaendelea ila hakuna kitu kaka wanaenda kuua ndugu zetu kwa maana ma clinical officers wengi ndio wanaoajiriwa pamoja na ma CA MD ajira chache sana na ni nadra MD kupangiwa enterior walipo ndugu zetu.
  3. S

    DOKEZO Udanganyifu wa mitihani Paradigms

    Chuo cha Paradigms institute kilichopo kimara Dar es salaam pale wanaandaa waiting wa hovyo kwenye sector ya afya hasa course ya clinical medicine. Yani wanafunzi wanatajiwa majibu ya mitihani tena mitihani ya afya procedure book zinafojiwa mitihani ya cats ya wodini hawafanyi yani hakuna chuo...
  4. S

    KWELI Video hii ya watoto wakiuzwa ni kutoka katika mpaka wa Congo na Gabon

    Education is a key wether got a job through it or not Knowledge is a POWER.
  5. S

    Kipi bora?

    Bora wanitoe macho maana hata mademu zangu wenye sura mbaya hua nakula mzigo huku nimefumba macho
  6. S

    Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    Naomba kama kuna mtu ana namba za warembo wa badoo na Alisha wahi kukutana nae naomba anitumie inbox Tafadhali now.awe no 8.
  7. S

    Kifaransa kipewe kipaumbele

    Mimi nahisi lugha ya Kifaransa ipewe uzito wake maana ni nyepesi kujifunza kuliko Kingereza.
Back
Top Bottom