Yani mitihani inaendelea ila hakuna kitu kaka wanaenda kuua ndugu zetu kwa maana ma clinical officers wengi ndio wanaoajiriwa pamoja na ma CA MD ajira chache sana na ni nadra MD kupangiwa enterior walipo ndugu zetu.
Chuo cha Paradigms institute kilichopo kimara Dar es salaam pale wanaandaa waiting wa hovyo kwenye sector ya afya hasa course ya clinical medicine. Yani wanafunzi wanatajiwa majibu ya mitihani tena mitihani ya afya procedure book zinafojiwa mitihani ya cats ya wodini hawafanyi yani hakuna chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.