Nilisafiri na Ali Kiba kwa ndege ya ATC jana mchana kuja Mtwara. Pale airport kulikuwa na waendesha bodaboda kama 10 hivi na abiria wao, na magari kama 4 hivi yaliyokuja kumpokea. Lakini baadaye nikasikia amepokelewa na "nyomi" ya watu. Masasi sikuwepo, ila sitashangaa kama nitaambiwa nyomi ya...
Siyo tetesi. Ni kweli. Nimehudhuria mazishi ya watoto hao jioni hii. Ni watatu, wa familia moja. Dada yao mkubwa amelazwa bugando. Baba na mama wamelazwa geita. Inasikitisha sana
Duh, First Born ushauri wako umechelewa kuwafikia. Mimi nimeachana nao rasmi jana, tarehe 31 July. Wana mayai viza kbao. Umesahau na lingine. Wanauza/vujisha mawasiliano ya wateja, hawana siri, hawana maadili. Ngoja wenye akili tuondoke, mmoja mmoja!!
Poti, achana nao. Kigoma ndo mwisho wa reli, mwisho wa ujinga. Huwezi kutaja historia ya upinzani katika nchi hii bila kuitaja Kigoma. Waache watukane, wadharau, wabeze-chochote kile, lakini hapa ngo wamefika. Leka dutigite!!
Hata wewe umechemka. Hatuandiki "hua", tunaandika "huwa". Na hatuandiki " kulikua", tunaandika "kulikuwa". Ila nakupongeza kwa kukerwa na wanaoharibu lugha yetu adhimu
Sasa umeomba msaada wa wanasheria wa kazi gani wakati wewe mwenyewe umeshaanza kueleza kile unachokiona ndiyo legal position? Umejichanganya. Tatizo la sisi wa-Tz ndo hilo. Kila mmoja ni mtaalam wa kila kitu. Hatuna utulivu na ustahimilivu wa kuwapa nafasi wataalam wakafanya yao. Tunaanzisha ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.