Recent content by sebastian achola

  1. S

    Kuhusu shahawa

    Kweli, hapo kwenye utomvu....
  2. S

    Kwanini watu wenye akili sana sio wazungumzaji wazuri?

    Mf. Professor kulikoyela kahigi (MP-chadema)
  3. S

    Makongoro Nyerere Kugombea Urais-2015

    Wewe unasema kama nani? Eti makongoro hawezi kuwa rais.. Ume hold kura za watz?
  4. S

    Makongoro Nyerere Kugombea Urais-2015

    Hatumii gongo... Mchafue kwa lingine
  5. S

    Makongoro Nyerere Kugombea Urais-2015

    Kama makongoro atapita ccm basi nitampa kura, ila wakimpitisha mwingine....!!!!!
  6. S

    Jf aliyepo Tabora

    Niko Ipuli hapa kwenye kitimoto, unatumia? Opposite na Hosp
  7. S

    Siri zavuja Nyalandu na urais, rais na baraza la Mawaziri, Mwigulu Mwiba

    Mwigulu anafaa sana kuwa Rais, wanaopinga waje na hoja... I believe in him, I trust him...sio MTU wa kuyumbishwa na anajua maana halisi ya kutumia ofisi, tumechoka kuongozwa na watu wasiojua ugumu wa maisha... Mwigulu kwanza mambo mengine baadae
  8. S

    Breaking Newz - Waziri Mkuu Ajiuzulu

    True,haya mambo pereka Facebook & whatsap sio humu...
  9. S

    Tatizo la simba ni Friends of Simba

    Definetly, wakae wayamalize... Tunaoumia ni sisi mashabiki/wapenzi wa simba... Otherwise tuta wa Burkina Faso
  10. S

    Wema ammwaga Diamond, safari hii ndo basi Tena

    Safi sanaaaa,to be honest... Sipendi hii couple, diamond anahitaji Mke asie superstar na wema anahitajika apate Mme alie busy, mwenye pesa ila asiwe maarufu
Back
Top Bottom