Karibu upate vifaa vya umeme vya kisasa na vyenye ubora wa hali ya juu kwa ajili ya biashara yako! Tunauza jumla na reja reja flash, cover, chaji na USB kwa bei nafuu kabisa, zenye kuhakikisha unanufaika kwa faida kubwa.
Tunajua wateja wako wanapenda bidhaa zinazodumu, zenye ubora na...
Hoja yako ina mashiko sana,
Unaoa vipi mwanamke alielala na wanaume kibao kwa mahari?, hakuna kutoa mahari, tuowe bure au wajilipie Mahari
Mimi sitoi Pesa yangu kuoa mwanamke asio na Bikra mwanamke alietumika nitaoa bure au yeye ndo anipe mahari nikalipe lakni sio pesa yangu shenzi 😁
mambo vipi leo nimekutana na sunday demonte am so excited kwa kweli nimekutana mtu niliekuwa namsoma kwenye magazeti na kupiganae story
Nimcheshi mno ana story nyingi kuhusu hawa wanawake mastar wa bongo itoshekusema aliwala sana hawa mabongo movie kipindi hicho
kilichonishangaza zaid umbile...
Wazee wa kazi Hamjambo?
Mimi kama mimi nitaoa mwanamke mshamba wazee wangu, wanawake wajanja nawaachia nyinyi aisee
Unaoa mwanamke anajua kilakitu instagram anajua yeye page zote za umbea amezifollow tamthilia za azam anangalia zote kuanzia saa 10 mpaka saa 6 za usiku, youtube anajua mpaka...
Mtu Aliyetawala Biashara ya Dawa za Kulevya...
Alilelewa huko Mombasa na wazazi wa kiPakistani, akianza kama mjasiriamali halali, akiendesha kampuni ya usafirishaji Akasha Transporters, ikiingiza mizigo ndani na nje ya Kenya kupitia bandari ya Mombasa.
Je, umewahi kufikiria jinsi Bandari ya...
Nimeishia darasa la nne mkuu,
nilikuwa nasoma bagamoyo
baada ya marehemu babu yangu mzaa baba yangu kufariki Ndipo tuliporudi dar es salam ikiwa nimeamishwa shule mwaka mmoja toka niamishwe shule dar es salam kwenda kusoma bagamoyo kwa bahati mbaya babu ndo akafariki
Hivyo ikatupaswa turudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.