Recent content by sdk allie

  1. sdk allie

    Sijawahi kupanda ndege

    Alafu ndege inapunguza nguvu za kiume
  2. sdk allie

    Leo tukate mzizi wa fitina: Nani mkali kati ya Young D, Young Killer na Dogo Janja?

    Kwazile flow za bigilibigili kwenda bigili Kuja.. Acha nikae kimya.. Arusha mnapoteza tests sikuizi
  3. sdk allie

    Leo tukate mzizi wa fitina: Nani mkali kati ya Young D, Young Killer na Dogo Janja?

    Sijajua ni mchambuzi wa nini ila kwa ufafanuzi wako nahakika sio mchambuzi wa sanaa ya muziki.. Baki kwny fani yko
  4. sdk allie

    Leo tukate mzizi wa fitina: Nani mkali kati ya Young D, Young Killer na Dogo Janja?

    Naona kama umeshafunga mjadara.. Umefafanua vizuri kabisa..
  5. sdk allie

    Clouds Fm acheni kuvulunda nyimbo za watu

    sawa blaza! ila hayo nimaoni yangu binafsi sio sheria. au hata kujieleza naitaji nifananishe mitazamo nakila mtu!
  6. sdk allie

    Clouds Fm acheni kuvulunda nyimbo za watu

    sawa wewe siunalijua zaidi..tujuze unachojua!!!
  7. sdk allie

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mawazo niuzuzu kufatilia story isiyoisha
  8. sdk allie

    Clouds Fm acheni kuvulunda nyimbo za watu

    Nikawaida media mbali mbali kutumia nyimbo za wasanii wa ndani zilizoheat kwnye matangazo ya biashara ila hii iliyo mezani leo ni ya wimbo wa "KULIKO JANA" wa SAUTI SOL kutoka kenya,Nilikua nikiupenda huu wimbo,not until hawa jamaa wa CLOUDS FM walivyoutengenezea Tangazo sijui la...
  9. sdk allie

    Professor Shivji avunja Ukimya juu ya Maxence Melo

    aah atakua fake uyo! shivji alishaachaga mambo hayo..tangu mchakato wa katiba mpya
  10. sdk allie

    Magari 50 ya wagonjwa yote kupelekwa kanda ya ziwa, hii imekaaje?

    chato iliwekwa Traffic lights kabla ya moroco , sitashangaa aya mazingaombwe! acha tuisome!
  11. sdk allie

    Humphrey Polepole azibwa mdomo na fikra

    pole pole is a brave young man, km uncle magu kamuona anatafaa kuvaa viatu vya Nape basi apo ajakosea! manake ni bora kuliko wa jana..huyu hanaga magoli ya mkono,nimchapa kazi,ana busara kuliko umri wake na anathubutu kuliko vijana wengi pia knowledge na utashi wa uongozi anao.. niliwai kukutana...
Back
Top Bottom