Wadau nina kijana wangu, amefaulu vizuri tu form 6, na anahitaji kusoma kati ya hizo kozi mbili hapo juu, kwa anayefahamu indetail kuhusu hizo kozi. Msaada please ili niweze kumshauri..Maana binafsi sina uelewa nazo na kijana anataka kusoma.
Babu alikuwa super talented, but tatizo lake hakuwa Humble..sifa zilimzidi i guess ndo sababu iliyompelekea asiingie Top 10 Olevel...Gwamaka na Sili boy hawa watu walikuwa wanajua, na wapo so humble..huwezi kuwazania yaani..nawafahamu vizuri hao jamaa.
Endelea tu kusikiliza story za vijiweni kuwa MaTO wamefeli maisha. Japhet, he is doing very good now kwenye sekta yake. Hana njaa na anamaisha ambayo ni dream kwa vijana wengi..jamaa ni balaa
Mkuu maswali unajisahihishiaga mwenyew nini..? Kaa fikiria kwa makini unaweza kugundua udhaifu wako, may lugha nk. Then fanyia kazi. Kila la kheri hope utapata hizo ulizofanya leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.