Recent content by Scropion_Master

  1. S

    Real Estate vs Land Evaluation and management, Ardhi University

    Wadau nina kijana wangu, amefaulu vizuri tu form 6, na anahitaji kusoma kati ya hizo kozi mbili hapo juu, kwa anayefahamu indetail kuhusu hizo kozi. Msaada please ili niweze kumshauri..Maana binafsi sina uelewa nazo na kijana anataka kusoma.
  2. S

    Tuliosoma mchikichini tution tukutane hapa tukumbushie vituko tulivyokutana navyo

    Dagh umenikumbusha kwa mbali sana. Kwa Moudy kulikuwa najamaa mchukua ela wakuitwa Gobore. Jamaa noma sana yule..
  3. S

    Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

    Babu alikuwa super talented, but tatizo lake hakuwa Humble..sifa zilimzidi i guess ndo sababu iliyompelekea asiingie Top 10 Olevel...Gwamaka na Sili boy hawa watu walikuwa wanajua, na wapo so humble..huwezi kuwazania yaani..nawafahamu vizuri hao jamaa.
  4. S

    Ma-TO wawili katika mtihani mmoja Japhet S John na Aude G Kileo

    Endelea tu kusikiliza story za vijiweni kuwa MaTO wamefeli maisha. Japhet, he is doing very good now kwenye sekta yake. Hana njaa na anamaisha ambayo ni dream kwa vijana wengi..jamaa ni balaa
  5. S

    Nafasi za Mahakama: Nimeitwa kwenye Usahili mara tatu bila kuitwa kazini

    Mkuu maswali unajisahihishiaga mwenyew nini..? Kaa fikiria kwa makini unaweza kugundua udhaifu wako, may lugha nk. Then fanyia kazi. Kila la kheri hope utapata hizo ulizofanya leo
  6. S

    Mhongo aliondoka na umeme tanesco

    kwa umeme huu, hizo treni za umme sijui itakuwaje.
  7. S

    Dakika 20 tu anasema kachoka

    kuna mwana anakusaidia ukiwa haupo, so ukija wew kashachoka NY** zote zishaisha
  8. S

    Rais Magufuli: Watu tunapenda sifa lakini hii sifa sio ya kwangu

    airport chato, bombadier ..au niongeze
  9. S

    Naomba kuuliza kwa wajuaji

    hivi mshafunga shule desemba hii enh?
  10. S

    Natafuta kazi ya Ualimu wa Chemistry na Biology

    fungua tuition ya hayo masomo, kipindi unaendelea kutafuta. kama ni mwalimu mzuri utapata chochote kitu
  11. S

    Msaada: Inawezekana kwa mtu aliehitimu darasa la saba akajiunga na Chuo cha Polisi

    polisi Hawachukui darasa la 7. mshauri arudi shule akamalizie form 4,
Back
Top Bottom