Scropion_Master
Senior Member
- Jan 8, 2017
- 109
- 113
Wadau nina kijana wangu, amefaulu vizuri tu form 6, na anahitaji kusoma kati ya hizo kozi mbili hapo juu, kwa anayefahamu indetail kuhusu hizo kozi. Msaada please ili niweze kumshauri..Maana binafsi sina uelewa nazo na kijana anataka kusoma.