Inamonga
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 779
- 473
Nimetoka kwenye interview leo ya mahakama nafasi ya utunzaji wa kumbu kumbu.
Ni mara ya tatu leo naitwa kwenye interview na huwa najibu maswali yote vizuri kwa 99%, ila sijawahi kuitwa kazini..!!
Inawezekana kwavile sina mtu wa kunishika mkono ndio mana huwa sifanikiwi.. na vyeti vyangu pia ni vizuri sana..
Tunaomba utumishi mtende haki kwenye hizo nafasi, wanaostahili kupata hizo nafasi wazipate kwa uhalali.. tumezichoka tabia zenu..
Ni mara ya tatu leo naitwa kwenye interview na huwa najibu maswali yote vizuri kwa 99%, ila sijawahi kuitwa kazini..!!
Inawezekana kwavile sina mtu wa kunishika mkono ndio mana huwa sifanikiwi.. na vyeti vyangu pia ni vizuri sana..
Tunaomba utumishi mtende haki kwenye hizo nafasi, wanaostahili kupata hizo nafasi wazipate kwa uhalali.. tumezichoka tabia zenu..