Pole sana ukiwa kwenye mkataba hutakiwi kuacha kuomba nafasi maana hujui lini watakuchoka binafsi wako sahii maana nafasi zilitoka hasa hizo za security pengine hukutaka kuomba kwasababu uko kwenye mkataba na uliamini watakuajiri bila interview kwa kigezo Cha kufanya kazi mahali hapo kwa muda...
Habari
Nimekua na muda mrefu sana pasipo kuhudhuria Misa takatifu ya roman Catholic kulingana na shughuli mbalimbali ambazo nimekua nafanya pengine kukosa muda wa kwenda kanisani kutokana na uchovu wa kazi au mambo mengi ya kidunia.
Lakini baada ya Jana kukaa na kutafakari mambo mengi nikasikia...
Mtaani kwangu kuna nyumba zaidi ya 10 ninazozifaham wanaishi jamaa na marafiki zangu hizi nyumba kwanza mwenye nyumba haishi hapo anaishi mkoani kodi anatumiwa na wapangaji wake wote ni watumishi na hawana familia kwahyo asubuh wote wanatoka mpaka usiku ndo wanakuja au weekend ndo wanakuepo sasa...
Habari waungwana
Leo bana katika pita pita zangu nimekutana na kibao kingine cha mchongo kama kile cha royal tour leo sasa nina kingine tena ila sijajua huenda labda wakazi wa eneo husika wanaweza kua na maana tofaut na jina hilo maana vibao vya mitaani vimekua na majina tofaut tofaut na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.