Mpe vitu ashike mkonon vya kuchezea tena ni rahisi sababu kwa umri huo muda wote mikono ameifunga hivyo atakishikilia hicho cha kuchezea bila kudondosha nami nina mtt wa miezi mitano ila tatizo niligundua kuwa alikuwa hashibi baada ya kumpa nyonyo kila wakati linapungua kwa kasi.
Hiyo hali ninayo mimi nikichomwa sindano inaitwa anti d injection ni gharama hii sindano mwaka 2011 nikiwa mby nikiinunua laki 2 nilipofanyiwa upasuaji kwa ajili upya kumtoa mtt tumbon walinichoma nina blood group 0 negative na Mr ni b positive ila mtt wa pili sikuchoma. Nashindwa kuelewa kwa...
Nauza kiwanja kipo mbande bei 4.5m na tofali zipo hapo kiwanjan 2000 bei mil2 jumla 6.5 ni pazuri usafiri unafika umeme upon jiran mawasiliano 0712151818
Kiwanja kipo mbele kidogo ya kinyerezi mwisho panaitwa msitu wa nyuki ni kizuri pamejengeka umeme upo kwa mawasiliano nicheck 0712151818 kiwanja ni changu mwenyewe bei 9m
Niacho kiwanja kipo mbande nauza 4.5m kipo pazuri na kuna matofali 2000 ambayo nilifyatua mwenyewe kwa uwiano wa mfuko mmoja wa cement tofali 40 ukichkua na tofali nauza 6.5mil 0712151818
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.